Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Hivi kwa mtu kama mimi ambaye nipo Laela; Sumbawanga, hiyo Jangwani unayoongelea Iko wapi? Hata polisi wa hapa wakitaka kurejea masuala yao ya ulinzi watafanyeje? Manake ilivyoandikwa utafikiri Jangwani imetanda nchi nzima kuanzia Salenda, ingawa pia haiujulikani Salenda Iko wapi nchi hii. Hizi akili na uandishi mbovumbovu mtaacha lini JF?Kama ilivyokuaga Salenda pale darajani sasa uhalifu umehamia Jangwani ikifika usiku saa 5 na kuendelea si eneo salama kupita hasa ukiwa na pikipiki, kuna wezi na vibaka wenye silaha na wasio na huruma.
Eneo lile pana giza zito na hakuna ulinzi wa aina yoyote mida hiyo hali inayopelekea wahalifu kujitawala kwa masaa mpaka asubuhi na bila kupata upinzani wowote kutoka vyombo vya Ulinzi.
Tayari matukio kadhaa yameripotiwa lakini hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa mpaka sasa
Sasa mbona hii ni hatari sanaKama ilivyokuaga Salenda pale darajani sasa uhalifu umehamia Jangwani ikifika usiku saa 5 na kuendelea si eneo salama kupita hasa ukiwa na pikipiki, kuna wezi na vibaka wenye silaha na wasio na huruma.
Eneo lile pana giza zito na hakuna ulinzi wa aina yoyote mida hiyo hali inayopelekea wahalifu kujitawala kwa masaa mpaka asubuhi na bila kupata upinzani wowote kutoka vyombo vya Ulinzi.
Tayari matukio kadhaa yameripotiwa lakini hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa mpaka sasa
Ndo shida ya kukaa kwa shemeji. Dadako akipigwa miti nawe unapigwa nusu unaikatikiaSaa tano unatoka wapi ,unaenda wapi,huo ni muda wa kutafuta watoto na shemeji yenu
Hizi keyboard zenye predictive na auto correction Zina changamoto. Zinabadili maneno kutegemea unachat mara nyingi na nani. Unaandika Doria zanalazimisha uandike Doris. Unaweza Kuta zinafichua jina lako au mtu wako. Hazifanyi Vizuri sometimes.Hapo polisi inabidi waweke Doris kama pale salender
Tatizo linakuja mpaka afanywe kitu mbaya mtoto, mke, ndugu wa kigogo ndiyo wTaweka Doris
Wengi wanaoporwa ni raia wa kawaida tu hawana chochote
Ova
DoriaHizi keyboard zenye predictive na auto correction Zina changamoto. Zinabadili maneno kutegemea unachat mara nyingi na nani. Unaandika Doria zanalazimisha uandike Doris. Unaweza Kuta zinafichua jina lako au mtu wako. Hazifanyi Vizuri sometimes.
Polisi waweke kambi hapo tuHilo eneo mazingira yake tu yanavutia uhalifu.
I thought kuna taa pale au usiku haziwaki?
Hapo mpaka aumizwe kigogo au ndugu,mtoto wa kigogo kama tukio lililotokea salender mke wa fulani aluonjeshwa joto la jiweMwananchi anapolalamika ni amri kwa serikali
Lazima waweke mataa na ulinzi pia
Sio sawa, yaani mpaka tukioHapo mpaka aumizwe kigogo au ndugu,mtoto wa kigogo kama tukio lililotokea salender mke wa fulani aluonjeshwa joto la jiwe
Mpaka sasa pale kuna ulinzi umewekwa
Ova
Huna akiliNchi hii bhana walipa kodi tunaonekana kama makatuni kwa watawala....pale mpaka akabwe mtoto wa kigogo ndio hatua zitachukuliwa.....maana kwenye macho ya vyombo vya dola sisi walalahoi tunaonekana kama kenge tu.........
We ni muhusika? Mbona umemjibu vibaya kijanaHuna akili
Issue ndiyo imeripotiwa na huenda haijatufikia mamlaka husika, umeanza kutoa uharo wako wa dagaa mchele
Hii sijui sheikh! Walimpora vitu?tukio lililotokea salender mke wa fulani aluonjeshwa joto la jiwe
Mpaka sasa pale kuna ulinzi umewekwa
Hii ipo tangu siku nyingi na no aibu maana pale ni mjini kabisaKama ilivyokuaga Salenda pale darajani sasa uhalifu umehamia Jangwani ikifika usiku saa 5 na kuendelea si eneo salama kupita hasa ukiwa na pikipiki, kuna wezi na vibaka wenye silaha na wasio na huruma.
Eneo lile pana giza zito na hakuna ulinzi wa aina yoyote mida hiyo hali inayopelekea wahalifu kujitawala kwa masaa mpaka asubuhi na bila kupata upinzani wowote kutoka vyombo vya Ulinzi.
Tayari matukio kadhaa yameripotiwa lakini hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa mpaka sasa
Saa 5 usiku unspita hapo ili iweje?Kama ilivyokuaga Salenda pale darajani sasa uhalifu umehamia Jangwani ikifika usiku saa 5 na kuendelea si eneo salama kupita hasa ukiwa na pikipiki, kuna wezi na vibaka wenye silaha na wasio na huruma.
Eneo lile pana giza zito na hakuna ulinzi wa aina yoyote mida hiyo hali inayopelekea wahalifu kujitawala kwa masaa mpaka asubuhi na bila kupata upinzani wowote kutoka vyombo vya Ulinzi.
Tayari matukio kadhaa yameripotiwa lakini hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa mpaka sasa
Ni watoto wetu tumewalea wenyewe so tuwadhibiti wenyewe lawama hazitasaidia.Kama ilivyokuaga Salenda pale darajani sasa uhalifu umehamia Jangwani ikifika usiku saa 5 na kuendelea si eneo salama kupita hasa ukiwa na pikipiki, kuna wezi na vibaka wenye silaha na wasio na huruma.
Eneo lile pana giza zito na hakuna ulinzi wa aina yoyote mida hiyo hali inayopelekea wahalifu kujitawala kwa masaa mpaka asubuhi na bila kupata upinzani wowote kutoka vyombo vya Ulinzi.
Tayari matukio kadhaa yameripotiwa lakini hakuna hatua zozote zilizo chukuliwa mpaka sasa