technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Mchezaji Kama Bigirmana, Makambo na Kisinda sio wachezaji wa kucheza Yanga
Naomba dirisha dogo Hawa wachezaji waondoke haraka ni takataka
Lomalisa watu wanamponda lakini kwangu Mimi ndiye beki Bora namba 3 akiaminiwa na kupewa mechi
Football ni namba mpaka sasa ana assist mbili ni beki gani wa kushoto kwenye Ligi yetu mwenye assist mbili nitajieni
Halafu ndiye beki wa kushoto aliyecheza dakika chache.
Pls yanga sio ya kulea wachezaji mizigo Kama Bigirmana, Makambo na Kisinda.
Naomba dirisha dogo Hawa wachezaji waondoke haraka ni takataka
Lomalisa watu wanamponda lakini kwangu Mimi ndiye beki Bora namba 3 akiaminiwa na kupewa mechi
Football ni namba mpaka sasa ana assist mbili ni beki gani wa kushoto kwenye Ligi yetu mwenye assist mbili nitajieni
Halafu ndiye beki wa kushoto aliyecheza dakika chache.
Pls yanga sio ya kulea wachezaji mizigo Kama Bigirmana, Makambo na Kisinda.