Eng Hersi aambiwe ukweli Yanga kuna wachezaji mizigo

Eng Hersi aambiwe ukweli Yanga kuna wachezaji mizigo

Siwezi kukupinga Shabiki Kindakindaki wa Yanga kama ww,, licha ya kuwa Kindakindaki but ulichokinena ni ukweli mtupu.. hakuna siku nimemuona Makambo ni gunia kama Jana, straka linakosa magoli kizembe,, dirisha dogo aachwe kama mwenziwe yule mkongo (nishamsahau jina)
 
Nadhani Hawa watu tunjua uwezo wao wakipata muda watakuwa poa ligi haijafika hata match 10 we ushahukumu mtu amefail
 
Kisinda nikimuona uwanjani napata hasira sana, akipata mpira, ujue umeshapotea, hakuna kitu kabisa
 
Back
Top Bottom