Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Timu kubwa zote zipo robo fainali haijalishi ni mashindano yapiHyo achana nayo mkuu ...huko ni Kwa watu wakubwa
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu kubwa zote zipo robo fainali haijalishi ni mashindano yapiHyo achana nayo mkuu ...huko ni Kwa watu wakubwa
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kule mambo ya mangungu hamna kabsaHilo ni wazo lililopo siku nyingi lilishajadiliwa kitambo kabla utopolo ikiwa inacheza ndondocup ila kwakua utopolo wenye akili ni wawiwili tu utaona yeye ndo kaondoa ila yeye kasoma maamumizi tu
Umri wa Mzee wako +12Naombeni kujua jinsia zenu na umri wenu. Samahanini lakini.
Kwamba tusimpongeze hersiPamoja na usimba na uyanga wetu ikiwa jambo ni la kiujumla ya soka haina haja kuingiza utani wetu..tunakosa akili sahihi
Kvp mkuuUna sababisha Mashabiki wa Yanga wote waonekane ni Oya Oya kwa ushabiki uchwara wako
Hadi loser cup [emoji32]Timu kubwa zote zipo robo fainali haijalishi ni mashindano yapi
Wenye akili utopolo wapo wangapi?
Ana influence kubwaKumbe ni kiongozi wa CAF na FIFA anaweza kubadili sheria za soka .hongera kwake
Wenye akili hapo utopolo wako wawili tu je wewe kwa kujiangalia unaweza kuwa miongoni mwao?
Sifa Moja ya kuwa mchambuzi....ni lazima uwe genius....kukariri wachezaji...kujua indeep mifumo ya soka ..... record na vingine vingiWenye akili hapo utopolo wako wawili tu je wewe kwa kujiangalia unaweza kuwa miongoni mwao?
Kwahiyo kati ya kikwete na Baba yake Haji manara ambao hao ndo watu wawili wenye akili hapo utopolo unamtoa nani kwenye nafasi take unakaa wewe? Maana utopolo wenye akili sharti ni wasizidi wawiliSifa Moja ya kuwa mchambuzi....ni lazima uwe genius....kukariri wachezaji...kujua indeep mifumo ya soka ..... record na vingine vingi
...
So nadhani unaelewa how genius I'm
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hahaaa kwamba wanaongozwa na enfuence
Lile linafaidaNitampongeza siku akitoa sheria ya GOLI LA UGENINI.
Huku Yanga wote ni magenius that's y vigogo wote wa nchi ni wananchiKwahiyo kati ya kikwete na Baba yake Haji manara ambao hao ndo watu wawili wenye akili hapo utopolo unamtoa nani kwenye nafasi take unakaa wewe? Maana utopolo wenye akili sharti ni wasizidi wawili
Eng hersi ...atafanya yote... makolo wote tuzid kumuombeaVipi hajazungumzia chochote kuhusu wale wanaotolewa hovyo hatua za makundi?