Eng Hersi: Kuna namna timu fulani ilijipa utawala wa nchi, Nitawanyoosha

Eng Hersi: Kuna namna timu fulani ilijipa utawala wa nchi, Nitawanyoosha

Akiwa kwenye mahojiano yanayorushwa kupitia EATV katika kipindi cha Salama na Rais wa Yanga Engineer Hersi, Amesema kuna club ilikuwa imejipa utawala na kujiona wao ni vichwa. Sasa alikuwa kwenye mpango na bado yupo katika mipango ya kuwaonyesha kwamba Yanga ndiyo club kubwa zaidi "Nitawanyoosha" alisema kiongozi huyo wa Yanga ambaye kwa miaka mitatu mfululizo ameirejesha Yanga kwenye utawala wake na kuifikisha katika orodha ya vilabu 10 bora barani Afrika.

Hii inaonyesha Rais wa Yanga amepania na bado yupo kwenye mkakati wa kuifanya Yanga kuwa club ya mfano Afrika Mashariki na Afrika kiujumla.

Huenda miaka kadhaa ijayo tukashuhudia yale ya Al Ahly kumuacha na kumpoteza kabisa katika ramani za soka mpinzani na mtani wake Zamalek fc

Mpira haupo hivyo ;
 
Aache kauli za kipumbavu. Hana mamlaka ya kuinyoosha simba. Ni suala la muda tu simba itarudi kwenye ubora wake na mtaanza malalamiko yenu ya kumlalamikia Karia na tff yake na sijui ataficha wapi sura yake huyo msomali.
Huyo anaongea anadhani next year Simba itakuwa hivi never
Hata ubingwa ni Simba kadrop points mwenyewe tu tena kwa timu ndogo tu means Simba angechukua kama angeshinda hivyo vijimechi.

Simba na ubovu wake alichukua kombe mbele yao sioni hicho kinachoitwa kuinyoosha Simba
 
Huyo anaongea anadhani next year Simba itakuwa hivi never
Hata ubingwa ni Simba kadrop points mwenyewe tu tena kwa timu ndogo tu means Simba angechukua kama angeshinda hivyo vijimechi.

Simba na ubovu wake alichukua kombe mbele yao sioni hicho kinachoitwa kuinyoosha Simba
Duh!
Uko serious mkuu!?
Yanga ilokupiga nje ndani bado unasema hujaona wapi imekunyoosha!?
 
Back
Top Bottom