Eng. Hersi ndani ya PSG, akutana na kina Mbape, Hakim

Eng. Hersi ndani ya PSG, akutana na kina Mbape, Hakim

Attachments

  • Screenshot_20240104-173529.png
    Screenshot_20240104-173529.png
    151.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20240104-173655.png
    Screenshot_20240104-173655.png
    129 KB · Views: 2
Hivi eng Hersi alipataje ujasiri wa kujipiga selfie na 'wambea' wa ughaibuni?

Ikiwa kuwa na channel ni umbea basi PSG wamefyeka ubongo wa rais wenu maana wewe hapo ulipo hujui hata idadi ya followers wa PSG huko whatsapp but unakaza fuvu tu oooh kuwa na channel ni umbea [emoji23][emoji23].

Pole ndugu [emoji23][emoji23]
PSG ni bahari ya soccer [emoji460] Duniani
 
Wale wenzetu waliosema hicho ni cheo cha kawaida ndio maana Try Again ‘akakikataa’ watuambie hapa ni wapi? Majimaji ya Songea?
Halafu kuna mbumbumbu eti zinataka huyu akae meza moja na machawa, Mwijaku na Baba Revo ili wajadili nini?

Rais wetu Yuko bize hiyo nafasi apewe Stive Nyerere A.K.A Tivu Akee.
 
Halafu kuna mbumbumbu eti zinataka huyu akae meza moja na machawa, Mwijaku na Baba Revo ili wajadili nini?

Rais wetu Yuko bize hiyo nafasi apewe Stive Nyerere A.K.A Tivu Akee.
Kamati ya kuteua iliundwa na akina nani? Lazima tuwajue sio kwa udhalilishaji waliomfanyia Rais wetu.
 
Hersi is your spouse, isn't he? Kindly elucidate in a systematic manner how engaging with the chairperson of European club at the same table can contribute to the advancement of Tanzanian football!
You are almost married to Mangung' shut up!
 
Huyu eng.hersi afanye juu chini arudi na mbappe tunamhitaji wananchi
 
Back
Top Bottom