Eng. Hersi Said: Mimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga

Eng. Hersi Said: Mimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga, sipati Tsh. 100 Yanga, mimi kwa maana ya Rais wa Klabu sio mfanyakazi wa klabu, wala haajiriwi na klabu, makamu wa Rais pia, wajumbe wa kamati ya utendaji pia sio wafanyakazi wa Yanga.

“Wafanyakazi wa Yanga wanaanzia Level ya CEO hao ndio waajiriwa wa Yanga sisi ni viongozi ambao tumechaguliwa na Wanachama wa Yanga kuisimamia Yanga,” Rais wa Yanga Sc, Eng. Hersi Said.✍️

 
Hivi story hizi za kufanya kazi full time halafu unajisifu silipwi chochote au story za ufadhili bado zipo? Halafu kuna chura anajigamba wanaendesha timu kisasa. Wangemuuliza kwa hiyo anaishije bila mshahara?

Kuchaguliwa na wanachama hakumaanishi haustahili kulipwa. Rais na Wabunge wanachaguliwa na wananchi lakini wanalipwa kwa mujibu wa sheria.

Hizi story za watu kufanya kazi halafu wanajisifu hawalipwi sipendagi kuzisikia hata Simba maana zinajenga mazingira ya kudanganyana.
 
Hivi story hizi za kufanya kazi full time halafu unajisifu silipwi chochote au story za ufadhili bado zipo? Halafu kuna chura anajigamba wanaendesha timu kisasa. Wangemuuliza kwa hiyo anaishije bila mshahara?

Kuchaguliwa na wanachama hakumaanishi haustahili kulipwa. Rais na Wabunge wanachaguliwa na wananchi lakini wanalipwa kwa mujibu wa sheria.

Hizi story za watu kufanya kazi halafu wanajisifu hawalipwi sipendagi kuzisikia hata Simba maana zinajenga mazingira ya kudanganyana.
Hakika wengi hamuelewi governance. Hata board mbalimbali za makampuni kuna hao wakurugenzi wa bodi ambao siyo waajiriwa, sasa mnashangaa nini?????
 
Hakika wengi hamuelewi governance. Hata board mbalimbali za makampuni kuna hao wakurugenzi wa bodi ambao siyo waajiriwa, sasa mnashangaa nini?????
Rais tena kama huyu ambaye full time yupo katika shughuli za timu hauwezi kulinganisha na utendaji wa bodi.

Kitendo tu cha kutofautisha "viongozi" na "wafanyakazi" kinaleta maswali juu ya ama ufahamu wake kuhusu uongozi au dhamira yake katika kusema ukweli. Kuwa mfanyakazi hakukunyimi wewe kuwa kiongozi. Hivi CEO siyo kiongozi kisa analipwa mshahara? Hivi Afisa Habari siyo kiongozi kisa analipwa mshahara?

Halafu hajajibu swali kama yeye bado ni mwajiriwa wa GSM, at least katika clip hii hajajibu.
 
Hivi story hizi za kufanya kazi full time halafu unajisifu silipwi chochote au story za ufadhili bado zipo? Halafu kuna chura anajigamba wanaendesha timu kisasa. Wangemuuliza kwa hiyo anaishije bila mshahara?

Kuchaguliwa na wanachama hakumaanishi haustahili kulipwa. Rais na Wabunge wanachaguliwa na wananchi lakini wanalipwa kwa mujibu wa sheria.

Hizi story za watu kufanya kazi halafu wanajisifu hawalipwi sipendagi kuzisikia hata Simba maana zinajenga mazingira ya kudanganyana.
Nitajie mshahara wa Mwenyekiti wa Chama au taasisi yoyote ile unayoijua wewe.
 
Rais tena kama huyu ambaye full time yupo katika shughuli za timu hauwezi kulinganisha na utendaji wa bodi.

Kitendo tu cha kutofautisha "viongozi" na "wafanyakazi" kinaleta maswali juu ya ama ufahamu wake kuhusu uongozi au dhamira yake katika kusema ukweli. Kuwa mfanyakazi hakukunyimi wewe kuwa kiongozi. Hivi CEO siyo kiongozi kisa analipwa mshahara? Hivi Afisa Habari siyo kiongozi kisa analipwa mshahara?

Halafu hajajibu swali kama yeye bado ni mwajiriwa wa GSM, at least katika clip hii hajajibu.
Kwako unaposema full time unamaanisha nini?
 
Ha
Rais tena kama huyu ambaye full time yupo katika shughuli za timu hauwezi kulinganisha na utendaji wa bodi.

Kitendo tu cha kutofautisha "viongozi" na "wafanyakazi" kinaleta maswali juu ya ama ufahamu wake kuhusu uongozi au dhamira yake katika kusema ukweli. Kuwa mfanyakazi hakukunyimi wewe kuwa kiongozi. Hivi CEO siyo kiongozi kisa analipwa mshahara? Hivi Afisa Habari siyo kiongozi kisa analipwa mshahara?

Halafu hajajibu swali kama yeye bado ni mwajiriwa wa GSM, at least katika clip hii hajajibu.
Ni kweli unachokisema kiongozi. Iko hivi anaposema muajiriwa anamaanisha yupo kwenye payroll ya Yanga kitu ambacho siyo kweli yeye hayupo kwenye roster ya wanaolipwa mishahara kila mwezi au mkataba. Kwenye governance inakuwaga hivi bosi. Mfano CRDB ina wafanyakazi na wasiowafanyakazi ila wanawasimamia wafanyakazi. Hii tunaiitw bodi ya wakurugenzi. Kwenye bodi kuna waajiriwa wa CRDB (wana mikataba) na wengine siyo waajiriwa wa bank (hawana mikataba na hawapo kwenye payroll). Kinachotokea huwa ni wahusika ambao siyo waajiriwa hulipwa kama posho (remuneration-director fee etc) kwa muda fulani inaweza kuwa kila baada ya miezi sita etc, na wanapohudhuria vikao wanalipwa. So alichokisema Eng. Hersi ni kipo hivyo, siyo kabisa mwajiliwa ila ni mtendaji anayelipwa posho au fee inategemea wao yanga wataitaje. Aina hii ya governance husaidia kuwasimamia waajiriwa na lengo la kina Hersi ni kuhakikisha wanasimamia maslahi ya wanachama na ndiyo maana haiwezekana wawe waajiriwa watashindwa kusimamia hao waajiriwa wa yanga na hii iko kisheria zaidi bosi. Hata CRDB bodi ya wakurugenzi kazi yake ni kuisimamia management na ndiyo maana siyo waajiriwa. Nadhani nimeeleweka
 
Chanzo cha mapato yake ni nini na hao wenzake.
Soma post yangu hapo nyuma bosi. Kutokuwa muajiriwa haimaniishi halipwi ila imekaa zaidi ki governance ili kuwezesha utendaji wa club kuwa na ufanisi. Siyo muajiliwa ila kuna malipo anapata toka yanga. Tatizo wengi wenu hamuelewi governance structure za aina mbali mbali
 
Back
Top Bottom