Eng. Hersi Said: Mimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga

Eng. Hersi Said: Mimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga

Yanga gani na yeye kasema sio muajiriwa au ni kibarua hana mkataba na Yanga?
Yaani iko hivi, hakuna ulazima wa ili ulipwe yanga lazima uwe muajiriwa, no, no. Ndiyo maana haka ukienda CRDB kuna non-executive directors ambao wanalipwa na CRDB kama posho and yet siyo waajiriwa. Funguka uelewe utaabika mtaani
 
Rais wa Yanga ni mtendaji wa kila siku wa majukumu ya timu ndiyo maana credit za mafanikio yote ya Yanga kuanzia usajili hadi performance ya timu uwanjani anapewa yeye kwanza kabla ya huyo CEO. Yale yale ya GSM, mnamuimba kama ndiyo kila kitu hapo utopoloni ila mkibanwa kwenye udhamini wa vilabu vingine mnamruka kuwa hana influence yoyote klabuni, eti ni mdhamini mdogo tu.

Tatizo Yanga mna ile wanasema "you want to have your cake and eat it too". Kama wewe ni msomi kama unavyojinasibisha utaelewa hiyo kauli ina maana gani.
Na kazi ya CEO ni ipi? Kama hujui uliza. Mwenyekiti wa Bodi halipwi mshahara. Hata Mwenyekiti wa CCM halipwi mshahara na CCM
 
Bosi iko hivi, siku zote inategema na aina ya organization setup. Kwa mfumo wa Yanga ulivyo it has just happened kuwa Eng. Hersi yupo active na sababh kubwa ya nature ya organization kama yanga kwa sababu yeye anachaguliwa na wananchama na lazima aonekane anawawakilisha vizuri kuisimamia management ya Yanga. So hakuna tatizo bosi. Sema wengi wetu uelewa ni mdogo kwenye governance za vilabu au mashirika.
Mkuu hilo mbona linaelewekaa, kinachogomba hapa ni kusema hali hata 100 ya yanga, kwa hyo kwa mfano safari zote huwa anajigharamia?
 
Engineer anajaribu kutwambia kwamba "yeye ndio Yanga au kwa lugha rahisi Yanga ni mali yake" ...

Hao wengine ni waajiriwa tu ila wenyewe wapo...

Hao wengine wanaweza kufutwa kazi maana ni wa kuja, wenye Yanga wapo ...

Kwahiyo kuanzia leo ukisikia neno "Yanga" basi vuta picha ya engineer...
 
Rais ni Mwenyekiti wa Bodi. Bodi zote katika taasisi na mashirika kama TRA etc hawalipwi mshahara. Wanalipwa posho za vikao tu
Emu twende polepole tuje tu hapo Serikali yenu ya Mtaa tu hapo tutumie mfano rahisi mna Mwenyekiti wenu wa Serikali ya Mtaa huyo Mwenyekiti sio Mwajiriwa wa Serikali Ila ni mwajiriwa wa Mtaa wenu na Mtaa wenu ndio unaomlipa posho za vikao kila mkikutana na bodi wa wenyeviti wa Serikali za mitaa ndio anapata posho huko si ndio Serikali haimtambui na wala haijamwajiri?
 
Engineer anajaribu kutwambia kwamba "yeye ndio Yanga au kwa lugha rahisi Yanga ni mali yake" ...

Hao wengine ni waajiriwa tu ila wenyewe wapo...

Hao wengine wanaweza kufutwa kazi maana ni wa kuja, wenye Yanga wapo ...

Kwahiyo kuanzia leo ukisikia neno "Yanga" basi vuta picha ya engineer...
Anazingua
 
Na kazi ya CEO ni ipi? Kama hujui uliza. Mwenyekiti wa Bodi halipwi mshahara. Hata Mwenyekiti wa CCM halipwi mshahara na CCM
Mtuambie nyie maana kila siku mnamuimba Hersi, leo mnakuja kusema kazi huwa inafanywa na CEO.

Halafu nani kawaambia kufananisha utendaji wa klabu ya mpira na ule wa chama cha siasa ni utetezi mzuri? Wengine tukisemaga hii timu ni taasisi ya CCM baadhi ya watu hawatuelewi, leo wenyewe mnamlinganisha Rais wenu na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa.
 
Na kazi ya CEO ni ipi? Kama hujui uliza. Mwenyekiti wa Bodi halipwi mshahara. Hata Mwenyekiti wa CCM halipwi mshahara na CCM
Analipwa mshahara na nani Wewe andazi si useme unaogopa nini huo mshahara nani anamlipa au yeye ndio mshika Mapato anajichomolea anavyotaka haina haja ya kumlipa
 
Mtuambie nyie maana kila siku mnamuimba Hersi, leo mnakuja kusema kazi huwa inafanywa na CEO.

Halafu nani kawaambia kulinganisha utendaji wa klabu ya mpira na ule wa chama cha siasa ni utetezi mzuri?
Mwenye Club ni Rais (Mwenyekiti wa Bodi) ingawa yeye si mtendaji. Mfano TRA Mwenyekiti wa Bodi anachaguliwa na Rais ili asimamie Watendaji chini ya CEO. Huyu halipwi na Rais wa Timu halipwi ila anasimamia management ya timu. Kazi za kila siku anayewajibika ni CEO wa Timu. Amefafanua vizuri sana. Ila uelewa ndiyo hafifu ukichanganya na mihemko ya Usimba na Uyanga
 
Mkuu hilo mbona linaelewekaa, kinachogomba hapa ni kusema hali hata 100 ya yanga, kwa hyo kwa mfano safari zote huwa anajigharamia?
Ni kweli hiyo kauli ina utata ila nadhani governance ya Yanga wanaijua wao, possibly analipwa na wanachama au kuna namna. Mara nyingi ukiwa mkurugenzi kwenye bodi hizi za NGO mara nyingi hulipwi kabisa unakuwa na kazi nyingine na huko unajitolea tu. Nadhani muhimu kujua governance ya Yanga ikoje
 
Mwenye Club ni Rais (Mwenyekiti wa Bodi) ingawa yeye si mtendaji. Mfano TRA Mwenyekiti wa Bodi anachaguliwa na Rais ili asimamie Watendaji chini ya CEO. Huyu halipwi na Rais wa Timu halipwi ila anasimamia timu. Kazi za kila siku anayewajibika ni CEO wa Timu. Amefafanua vizuri sana. Ila uelewa ndiyo hafifu ukichanganya na mihemko ya Usimba na Uyanga
Analipwa na nani Wewe Maandazi mboni hausemi unazungukazunguka sema nani anamlipa?
 
Analipwa na nani Wewe Maandazi mboni hausemi unazungukazunguka sema nani anamlipa?
Asante kwa kuniita mandazi. Anazungumzia mshahara ambao unakatwa PAYE!!!!!! Mshahara na posho ni vitu viwili tofauti. Anaposema halipwi ni mshahara ila analipwa posho tu. Akisafiri analipiwa na Yanga etc. Tofautisha mshahara na posho. Sijui bado mimi ni andazi au la
 
Ni kweli hiyo kauli ina utata ila nadhani governance ya Yanga wanaijua wao, possibly analipwa na wanachama au kuna namna. Mara nyingi ukiwa mkurugenzi kwenye bodi hizi za NGO mara nyingi hulipwi kabisa unakuwa na kazi nyingine na huko unajitolea tu. Nadhani muhimu kujua governance ya Yanga ikoje
Swali ni : analipwa na nani? Hizo zingine bla bla hatuzitaki tunachotaka kujua nani anamlipa
 
Asante kwa kuniita mandazi. Anazungumzia mshahara ambao unakatwa PAYE!!!!!! Mshahara na posho ni vitu viwili tofauti. Anaposema halipwi ni mshahara ila analipwa posho tu. Akisafiri analipiwa na Yanga etc. Tofautisha mshahara na posho. Sijui bado mimi ni andazi au la
Bado Wewe ni Maandazi hujasema analipwa na nani analipwa na Yanga wakati amesema yeye sio muajiriwa wa Yanga sasa analipwaje wakati hajaajiriwa na Yanga? Emu tulizeni Ubongo mwambieni huyo afafanue tena Jibu lake litakua analipwa na Tajiri GSM
 
Bado Wewe ni Maandazi hujasema analipwa na nani analipwa na Yanga wakati amesema yeye sio muajiriwa wa Yanga sasa analipwaje wakati hajaajiriwa na Yanga? Emu tulizeni Ubongo mwambieni huyo afafanue tena Jibu lake litakua analipwa na Tajiri GSM
Au level ya elimu yako ipo chini. Nasema kuwa Kuana vitu viwili ambavyo vyote ni kupokea pesa. 1. Mshahara na 2. Posho. Yeye halipwi Mshahara bali posho. Ukiajiri mtu lazima umlipe Mshahara.
 
Au level ya elimu yako ipo chini. Nasema kuwa Kuana vitu viwili ambavyo vyote ni kupokea pesa. 1. Mshahara na 2. Posho. Yeye halipwi Mshahara bali posho. Ukiajiri mtu lazima umlipe Mshahara.
Hivi unaelewa maana ya posho Wewe au unaropoka kwa hio yeye sio Mwajiriwa Ila ni kibarua wa Yanga? Au hata kibarua haujui maana yake? Kuna watu wameajiriwa wanalipwa mshahara na posho, posho wanalipwa kwa kazi fulani nje ya kazi yao maalum ushaelewa? Sasa analipwaje posho wakati hayupo kwenye orodha ya watu walioajiriwa na Yanga au wengine hawalipwi posho? Ali Kamwe halipwi posho? Ali Kamwe hajaajiriwa na Yanga? Emu tulizeni Ubongo muulizeni analipwa na nani Jibu litakua ni moja tu Tajiri GSM
 
Back
Top Bottom