Eng. Hersi Said: Mimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga

Eng. Hersi Said: Mimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga

Sasa kama wewe ni rais wa Yanga halafu unasema siyo mfanyakazi wa Yanga maana yake nini?

Kama wewe siyo mfanyakazi wa Yanga basi Yanga ni mfanyakazi wako!

Engineer anajaribu kutwambia kwamba "yeye ndio Yanga au kwa lugha rahisi Yanga ni mali yake" ...

Hao wengine ni waajiriwa tu ila wenyewe wapo...

Hao wengine wanaweza kufutwa kazi maana ni wa kuja, wenye Yanga wapo ...

Kwahiyo kuanzia leo ukisikia neno "Yanga" basi vuta picha ya engineer...
"Mimi sifanyi kazi Yanga. Mimi ni Rais wa Yanga". Hii kauli inabeba mengi sana.

Hivi wafanyakazi wanachukuliwaje nchi hii? Kwa hiyo "kazi" anayopewaga na anayojipaga credit kuifanya Yanga tuipe jina gani?
 
"Mimi sifanyi kazi Yanga. Mimi ni Rais wa Yanga". Hii kauli inabeba mengi sana.

Hivi wafanyakazi wanachukuliwaje nchi hii? Kwa hiyo "kazi" anayopewaga na anayojipaga credit kuifanya Yanga tuipe jina gani?
Wanatuchukulia mafala
 
Yanga mnajilinganisha na utendaji wa chama cha siasa? Kwanza Hersi ni mwenyekiti wa nini?


Kama unataka upewe definition ya full time basi mjadala huu haukuhusu.
Usikimbie, jibu maswsli niliyokuuliza, vinginevyo huna uwezo wa either kuchangia mjadala au kukosoa.
 
Hivi unaelewa maana ya posho Wewe au unaropoka kwa hio yeye sio Mwajiriwa Ila ni kibarua wa Yanga? Au hata kibarua haujui maana yake? Kuna watu wameajiriwa wanalipwa mshahara na posho, posho wanalipwa kwa kazi fulani nje ya kazi yao maalum ushaelewa? Sasa analipwaje posho wakati hayupo kwenye orodha ya watu walioajiriwa na Yanga au wengine hawalipwi posho? Ali Kamwe halipwi posho? Ali Kamwe hajaajiriwa na Yanga? Emu tulizeni Ubongo muulizeni analipwa na nani Jibu litakua ni moja tu Tajiri GSM
Hersi anasema halipwi hata 100 ila chawa wake wanajaribu kumtetea kwa kusema analipwa posho. Hawajui posho inaweza kuwa ni kubwa sana kulinganisha na wanaolipwa mshahara.
 
Ni kweli hiyo kauli ina utata ila nadhani governance ya Yanga wanaijua wao, possibly analipwa na wanachama au kuna namna. Mara nyingi ukiwa mkurugenzi kwenye bodi hizi za NGO mara nyingi hulipwi kabisa unakuwa na kazi nyingine na huko unajitolea tu. Nadhani muhimu kujua governance ya Yanga ikoje
Kumbe unaotea!

Pia kukuweka sawa, Yanga haina hiyo unayoita bodi ya wakurugenzi
 
Mihemko inawasumbua! Nasema mwajiriwa analipwa mshahara. Bodi inalipwa posho siyo mshahara. Kama huwezi kutofautisha posho na mshahara basi Ubarikiwe tu, haya mambo siyo level yako kama ambavyo naona SAYVILLE na Bueno wasivyokuwa waeleawa. Mshahara lazima ukatwe PAYEE ambayo calculator yake ni hii hapa PAYEE Calculator
 
Mihemko inawasumbua! Nasema mwajiriwa analipwa mshahara. Bodi inalipwa posho siyo mshahara. Kama huwezi kutofautisha posho na mshahara basi Ubarikiwe tu, haya mambo siyo level yako kama ambavyo naona SAYVILLE na Bueno wasivyokuwa waeleawa
Tangu lini Yanga ina bodi?
 
Sasa kama wewe ni rais wa Yanga halafu unasema siyo mfanyakazi wa Yanga maana yake nini?

Kama wewe siyo mfanyakazi wa Yanga basi Yanga ni mfanyakazi wako!
Kikwete ni mkuu wa chuo cha Dar (University chancellor), lakini yeye si mfanyakazi wa UDSM.
 
Kikwete ni mkuu wa chuo cha Dar (University chancellor), lakini yeye si mfanyakazi wa UDSM.
Mwajiriwa wa UDSM Mkuu wa Chuo lazima kuna kazi azifanye Wewe Maandazi kabisa Wewe
 
Hivi unaelewa maana ya posho Wewe au unaropoka kwa hio yeye sio Mwajiriwa Ila ni kibarua wa Yanga? Au hata kibarua haujui maana yake? Kuna watu wameajiriwa wanalipwa mshahara na posho, posho wanalipwa kwa kazi fulani nje ya kazi yao maalum ushaelewa? Sasa analipwaje posho wakati hayupo kwenye orodha ya watu walioajiriwa na Yanga au wengine hawalipwi posho? Ali Kamwe halipwi posho? Ali Kamwe hajaajiriwa na Yanga? Emu tulizeni Ubongo muulizeni analipwa na nani Jibu litakua ni moja tu Tajiri GSM
Mm! Wewe kwa kulazimisha kile unachokifahamu bila kuacha mwanya wa maarifa mapya hatujambo.
 
Hivi story hizi za kufanya kazi full time halafu unajisifu silipwi chochote au story za ufadhili bado zipo? Halafu kuna chura anajigamba wanaendesha timu kisasa. Wangemuuliza kwa hiyo anaishije bila mshahara?

Kuchaguliwa na wanachama hakumaanishi haustahili kulipwa. Rais na Wabunge wanachaguliwa na wananchi lakini wanalipwa kwa mujibu wa sheria.

Hizi story za watu kufanya kazi halafu wanajisifu hawalipwi sipendagi kuzisikia hata Simba maana zinajenga mazingira ya kudanganyana.
Wajinga ndio waliwawo, kekundu kiupe cc FaizaFoxy
 
Hakika wengi hamuelewi governance. Hata board mbalimbali za makampuni kuna hao wakurugenzi wa bodi ambao siyo waajiriwa, sasa mnashangaa nini?????
Wakuregenzi wa bodi zote duniani huwa wanalipwa posho za kuhudhuria vikao, unono wa posho unategemea ukubwa wa taasisi, Marais wa timu zote duniani (kasoro Yanga) wanalipwa mishahara ya kila mwezi. Hata Florentino Perez wa Madrid analipwa mshahara.
 
Ukifuatlia hii post makolo ndio wanalalamika sijui hata ni nini kina wauma maskini…!!!
 
Hakika wengi hamuelewi governance. Hata board mbalimbali za makampuni kuna hao wakurugenzi wa bodi ambao siyo waajiriwa, sasa mnashangaa nini?????
Yes, huwa hawalipwi mshahara Bali kuna directors fees na alawanse ya makalio/sitting allowances n etc
 
Back
Top Bottom