Eng. Hersi Said: Mimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga

Eng. Hersi Said: Mimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga

Hii mbona ipo wazi kitambo? Wenyeviti wa CCM wote hawana mishahara, ila makatibu wana mishahara kwa sababu ni waajiriwa!
Umeongea nini? Mwenyekiti wenu wa Serikali ya mtaa kamuulize halipwi pale Ofisini na km halipwi hela ya kujilipa anatoa Wapi? Msiongee ushubwada
 
Hivi story hizi za kufanya kazi full time halafu unajisifu silipwi chochote au story za ufadhili bado zipo? Halafu kuna chura anajigamba wanaendesha timu kisasa. Wangemuuliza kwa hiyo anaishije bila mshahara?

Kuchaguliwa na wanachama hakumaanishi haustahili kulipwa. Rais na Wabunge wanachaguliwa na wananchi lakini wanalipwa kwa mujibu wa sheria.

Hizi story za watu kufanya kazi halafu wanajisifu hawalipwi sipendagi kuzisikia hata Simba maana zinajenga mazingira ya kudanganyana.
Watu wenye akili hawatazami mtu anachokisema wanatazama namna ya utendaji kazi
 
Watu wenye akili hawatazami mtu anachokisema, wanatazama namna ya utendaji kazi
Anafanya kazi Vipi km halipwi? Tusichanganyane Mzee Magoma alikua anaonekana km Mwehu kumbe ana akili
 
Soma post yangu hapo nyuma bosi. Kutokuwa muajiriwa haimaniishi halipwi ila imekaa zaidi ki governance ili kuwezesha utendaji wa club kuwa na ufanisi. Siyo muajiliwa ila kuna malipo anapata toka yanga. Tatizo wengi wenu hamuelewi governance structure za aina mbali mbali
Ndio afafanue sasa atasema ameajiriwa na Tajiri GSM sema hivyo Mzee Magoma achukue point 3
 
Anafanya kazi Vipi km halipwi? Tusichanganyane Mzee Magoma alikua anaonekana km Mwehu kumbe ana akili
Nyinyi ndio huwa mnatolewa relini na wake zenu

Mke akibwabwaja muache tu aropoke muhimu awe anafuata maagizo yako basi...
Kelele zake unamuachia yeye mwenyewe
 
Hivi huyu baba alisoma Engineering, course ipi? Nataka sana kujua. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anacheza na akili ndogo tu

Kipimo cha akili hupimwa katika vitendo na si maneno
 
Ni kweli unachokisema kiongozi. Iko hivi anaposema muajiriwa anamaanisha yupo kwenye payroll ya Yanga kitu ambacho siyo kweli yeye hayupo kwenye roster ya wanaolipwa mishahara kila mwezi au mkataba. Kwenye governance inakuwaga hivi bosi. Mfano CRDB ina wafanyakazi na wasiowafanyakazi ila wanawasimamia wafanyakazi. Hii tunaiitw bodi ya wakurugenzi. Kwenye bodi kuna waajiriwa wa CRDB (wana mikataba) na wengine siyo waajiriwa wa bank (hawana mikataba na hawapo kwenye payroll). Kinachotokea huwa ni wahusika ambao siyo waajiriwa hulipwa kama posho (remuneration-director fee etc) kwa muda fulani inaweza kuwa kila baada ya miezi sita etc, na wanapohudhuria vikao wanalipwa. So alichokisema Eng. Hersi ni kipo hivyo, siyo kabisa mwajiliwa ila ni mtendaji anayelipwa posho au fee inategemea wao yanga wataitaje. Aina hii ya governance husaidia kuwasimamia waajiriwa na lengo la kina Hersi ni kuhakikisha wanasimamia maslahi ya wanachama na ndiyo maana haiwezekana wawe waajiriwa watashindwa kusimamia hao waajiriwa wa yanga na hii iko kisheria zaidi bosi. Hata CRDB bodi ya wakurugenzi kazi yake ni kuisimamia management na ndiyo maana siyo waajiriwa. Nadhani nimeeleweka
Rais wa Yanga ni mtendaji wa kila siku wa majukumu ya timu ndiyo maana credit za mafanikio yote ya Yanga kuanzia usajili hadi performance ya timu uwanjani anapewa yeye kwanza kabla ya huyo CEO. Yale yale ya GSM, mnamuimba kama ndiyo kila kitu hapo utopoloni ila mkibanwa kwenye udhamini wa vilabu vingine mnamruka kuwa hana influence yoyote klabuni, eti ni mdhamini mdogo tu.

Tatizo Yanga mna ile wanasema "you want to have your cake and eat it too". Kama wewe ni msomi kama unavyojinasibisha utaelewa hiyo kauli ina maana gani.
 
Rais wa Yanga ni mtendaji wa kila siku wa majukumu ya timu ndiyo maana credit za mafanikio yote ya Yanga kuanzia usajili hadi performance ya timu uwanjani anapewa yeye kwanza kabla ya huyo CEO. Yale yale ya GSM, mnamuimba kama ndiyo kila kitu hapo utopoloni ila mkibanwa kwenye udhamini wa vilabu vingine mnamruka kuwa hana influence yoyote klabuni, eti ni mdhamini mdogo tu.

Tatizo Yanga mna ile wanasema "you want to have your cake and eat it too". Kama wewe ni msomi kama unavyojinasibisha utaelewa hiyo kauli ina maana gani.
Bosi iko hivi, siku zote inategema na aina ya organization setup. Kwa mfumo wa Yanga ulivyo it has just happened kuwa Eng. Hersi yupo active na sababh kubwa ya nature ya organization kama yanga kwa sababu yeye anachaguliwa na wananchama na lazima aonekane anawawakilisha vizuri kuisimamia management ya Yanga. So hakuna tatizo bosi. Sema wengi wetu uelewa ni mdogo kwenye governance za vilabu au mashirika.
 
Back
Top Bottom