Chawa kama chawa. Unamlisha maneno ili tu upate angle ya kumtetea huku unaziba masikio kwa yale aliyosema ambayo unapata wakati mgumu kuyatolea maelezo. Endelea na kazi yako chawa.Utakuwa mentally disturbed kama unaweza kusoma maelezo meeengi yasiyo na tija na bado unajaribu kuya-argue. SORRY, nimeishia kusoma ulipoandika "...hata 100.." nikagundua uelewa wako ni duni mno na hizo takataka zingine wala sikujisumbua kusoma!
Nasema hivi, uelewa wako ni DUNI aka FINYU! Wenye akili wamekuambia posho sio mshahara! Zaidi ya hapo, kwa Yanga na Simba watu kutolipwa sio jambo geni! Manji aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Uto; unataka kusema alikuwa analipwa yule? Mo ameshakuwa Rais wa Simba, unataka kusema alikuwa analipwa yule? Msola alienda kuwa Mwenyekiti Uto wakati Uto walikuwa hawana ubavu hata kusafirisha timu, unataka kusema alikuwa analipwa yule? Btw, inawezekana mimi ni chawa, je wewe ni Mke wa Hersi kwahiyo unafahamu kwamba mumeo analipwa tofauti na alivyouambia umma?Chawa kama chawa. Unamlisha maneno ili tu upate angle ya kumtetea huku unaziba masikio kwa yale aliyosema ambayo unapata wakati mgumu kuyatolea maelezo. Endelea na kazi yako chawa.
Kati yangu na wewe nani anayepindisha maneno yake? Wewe unasema analipwa posho wakati yeye anasema halipwi hata 100!Nasema hivi, uelewa wako ni DUNI aka FINYU! Wenye akili wamekuambia posho sio mshahara! Zaidi ya hapo, kwa Yanga na Simba watu kutolipwa sio jambo geni! Manji aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Uto; unataka kusema alikuwa analipwa yule? Mo ameshakuwa Rais wa Simba, unataka kusema alikuwa analipwa yule? Msola alienda kuwa Mwenyekiti Uto wakati Uto walikuwa hawana ubavu hata kusafirisha timu, unataka kusema alikuwa analipwa yule? Btw, inawezekana mimi ni chawa, je wewe ni Mke wa Hersi kwahiyo unafahamu kwamba mumeo analipwa tofauti na alivyouambia umma?
Ndo maana nimekuambia uelewa wako ni DUNI! Hakuna popote niliposema Hersi analipwa posho. Nimekupa scanario ya Club Presidents duniani kote kwamba hawapo kwenye payroll. Na kuna mahali nilikuambia "...wenye akili wamekuambia posho sio mshahara", ikiwa na maana kuna watu wamekuambia analipwa posho lakini sio mimi ndie nimekuambia! Hapo nikakazia kwamba hata hizo posho zinategemea uwezo wa klabu kwa wakati husika! Baada ya hapo nikakuambia kwa Simba na Yanga sio ajabu watu kutolipwa; nikakupa mfano wa Manji, Mo, na Msola lakini kwa uelewa wako duni umeona kwa Manji na Mo sawa; labda kwavile ni Wahindi! What about Msola?!Kati yangu na wewe nani anayepindisha maneno yake? Wewe unasema analipwa posho wakati yeye anasema halipwi hata 100!
Tumefikia hatua ya kumlinganisha Hersi na kina Manji na Mo. Kweli uzi wangu wa Tajiri Hersi uliyatabiri haya. Yajayo yanafurahisha.
Unasemaa!?!Sasa kama naanza kumuelewa Mzee magoma
Acheni ujinga, hizo ni team za kitengo.
Ni lazina zibadilishane zamu za ubingwa ili kumanufacture furaha nchini. La sivyo umma usio na furaha utaraise up na kuisumbua serikali.
Ndiyo maana hizi timu zinatengenezewa mazingira ya kuwa bingwa kila baada ya muda fulani