Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Ko wachezaji wote hivi sasa kwenye mikataba yao wawe nakipengele hiko ili wakiona hawataki kuendelea na klabu zao basi wabadilishe TABIA au WAISALITI timu ili waachiwe huru kirahisi..?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe hukutumwa kujiweka mstari wa mbele kuzipokea.Rais hakutumwa kujiweka mstari wa mbele kutoa pesa. Na wala Yanga haikuhitaji msaada wa rais.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hii serikali yenu na Hiyo Yanga nimechoka kuvisikia mwezi huu
Hawana ubavu wa kusema noooHalafu wanakimbilia kuandika uzi mrefu kama gazeti, tena kwa kujitutumua kweli!!! Rais Samia katoa "OMBI", ombi ambalo linaweza likapokelewa au likakataliwa na viongozi wa yangu! Hayo ni maamuzi yao sasa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kimeumanaaaaaaaaa.Kuingilia mambo ya kisoko Ni ujinga endapo sheria zitakanyagwa mm nitaiandikia caf barua kulalamika serekali ya Tanzania kuingilia mambo ya mpira
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wamekamatikaaaaaRais wa nchi ni msemaji wa mwisho.
Tena mnatakiwa mkaombe msamaha.
Mjue tu kula mchele wake, kupokea mihela yetu ya kodi mpande ndege zetu bure halafu mmvimbie, dhubutu.
Thubutu....Mbona kuna wakuu wa wilaya waliteuliwa wakagoma kwenda kuripoti na hawajafanywa kitu.
Yanga wanaweza kukataa ombi la Bi.mkubwa.mwambie engineer akatae!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hersi huko aliko anatamani kutapikaa pilau la ikulu, imeishaaaa hiyoooooBiriani, Pilau, Sharubati Zimeishia Kooni Wameshindwa Kumeza Kwa Uchungu Mwingi Hasa Rais Alipogonga Kisu Cha Uchungu Kuhusu Feitoto
Aachwe Aende Atakapo Bila Sharti, FIFA Wanawazoom Wanasiasa Tanzania
huna akili.Kwani nani alimuomba atupatie ndege?
Kwani nani alimuomba incentives za magoli?
Hawezi kulaghai taasisi kwa dinner ya Milioni 200.
Nyie si mlisema Fei ana haki sasa hamuoni umuhimu wa kutafuta haki kwenye mamlaka za kisoka ili waliomfanyia dhuluma waadabishwe ?Hata nyie hamna ufahamu wowote wa mfuko gani uliotumika kutoa zile pesa la goli la Mama.
Feisali wiki hii ataachwa huru na vile vimidomo mlivyokuwa mnachonga kwa kujiona ma King Kong wa kufuata sheria now vitakata.
Habari wanajamvi.
Leo amesikika Rais wa Tanzania Akimdadavulia Rais wa Yanga SC Bw Eng Hersi Said kwa lengo la
kumuhimiza ahakikishe Mchezaji Feisal Salum anapata haki yake.
Ninacho fahamu kuwa Mama Samia hana ufahamu sahihi wa kinacho endelea baina ya mgogoro uliopo kati ya Yanga SC na Mchezaji husika. Hisia zake kama Mzanzibar ndizo zimempelekea kusukumwa kutoa mapendekezo yake pasi na kuhitaji kulifahamu zaidi swala hilo.
Ndugu Hersi Said, unapaswa kucheza karata zako makini mno kwenye hilo. Kumbuka Mama Samia ametumia gharama kiduchu sana kwenye kampeni ya zawadi za kila goli, Dinner la Ikulu pampja na usafiri wa ndege. Kumbuka hajafanya haya si kwa mapenzi ya dhati na masuala ya michezo, bali alilenga zaidi kuilaghai taasisi ya michezo ili iache kusimamia misingi ya kisheria na kikanuni ya michezo.
Kwa kawaida, ni muhimu kwa Rais wa nchi kuzingatia majukumu yake kikatiba na kutofautisha majukumu ya mamlaka nyingine za kiserikali na taasisi mbalimbali. Mgogoro kati ya klabu na mchezaji ni suala la kisheria ambalo linapaswa kusuluhishwa na mamlaka husika za sheria na kanuni za michezo.
Rais Samia Anahitaji Elimu zaidi.
Kwa hiyo Rais wa nchi kuingilia kati ktk mgogoro kama huo unaweza kusababisha mchanganyiko wa majukumu na kuingilia uhuru wa mamlaka nyingine. Ni muhimu kwamba kila mamlaka ifanye kazi yake. Kitendo cha Rais kuwapa Incentives mbalimbali basi isiwe sababu ya kuhalalisha kuingiliana ki mamlaka katika mihimili inayo jitegemea kiutendaji.
Rais Samia anahitaji mrejesho, Basi ni wasaa sahihi kuhakikisha anaandikiwa mrejesho wa kumuelimisha kuwa masuala ya migogoro ya kisoka/kimpira yana namna yake ya kutatuliwa. Muelewesheni kuwa zipo sababu za msingi kwanini hili suala linakawia kufikiwa tamati.
Ni vyema akafahamu kuwa uvunjwaji wa taratibu na mchezaji yeyote wa klabu ni lazima kuadhibiwe pasi na kujali kama huyu ni mchezaji wa kizanzibar, wa bara au wa kimataifa. Na hukumu kwa mchezaji wa namna hiyo hautotokwa kwa upendelea wa kibusara eti kwa kisingizio kuwa mchezaji ni mzawa au la.
Mshaurini Rais kuwa licha ya kuyafurahia mafanikio haya madogo ya klabu, kuna watu nyuma ya pazia ambao wanawekeza pesa zao na wasingependa kuona wanapata hasara ktk biashara ya mauzo ya wachezaji. Tukiruhusu kuingilia maamuzi ya taasisi huru ambazo zina sheria zake za usuluhishi basi tunajiweka katika nafasi ya kuwafukuza wawekezaji aina ya wakina GSM na Mo Dewji katika mpira wa Tanzania.
Kuna madhara makubwa sana endapo klabu kama klabu itashindwa kusimamia misingi ya taratibu zake na kusuluhisha migogoro na kesi za kimpira kwa kutumia tu mapendekezo ya wana siasa. Je Mama Samia anatoa ushauri kama nani? Je ni kama mtu mwenye ufahamu wa kanuni na taratibu za uendeshaji wa mpira? au Kama
Feisali yuko huruu kuanzia jana usiku, bado kuweka wazi kwa umma tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanataka kumponza Eng.wao yaani aanze kubishana na mamlaka ! Hilo swala la Fei hata mwezi hautaisha tutasikia limefika tamati
kategwa,kategeka, chezea muhimili uliochimbia chini nyinyieee....na asitekeleze kile alichoambiwa Mama tuone mwisho wake.Huu ni wakati wa Eng Hersi Said kuonyesha kwanini alichaguliwa na WANANCHi kusimamia maslahi ya Klabu Kubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Fei ndo ataamua nini anatakaa.Mhhh kwahyo itakuaje sasa na dogo hamtaki herisi saidi
Wamemuuza Fei Kwa chembe ya ubwabwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kimeumanaaaaaaaaa.
Hamkuona hili mlivyopewa ndege na kuitwa IkuluHabari wanajamvi.
Leo amesikika Rais wa Tanzania Akimdadavulia Rais wa Yanga SC Bw Eng Hersi Said kwa lengo la
kumuhimiza ahakikishe Mchezaji Feisal Salum anapata haki yake.
Ninacho fahamu kuwa Mama Samia hana ufahamu sahihi wa kinacho endelea baina ya mgogoro uliopo kati ya Yanga SC na Mchezaji husika. Hisia zake kama Mzanzibar ndizo zimempelekea kusukumwa kutoa mapendekezo yake pasi na kuhitaji kulifahamu zaidi swala hilo.
Ndugu Hersi Said, unapaswa kucheza karata zako makini mno kwenye hilo. Kumbuka Mama Samia ametumia gharama kiduchu sana kwenye kampeni ya zawadi za kila goli, Dinner la Ikulu pampja na usafiri wa ndege. Kumbuka hajafanya haya si kwa mapenzi ya dhati na masuala ya michezo, bali alilenga zaidi kuilaghai taasisi ya michezo ili iache kusimamia misingi ya kisheria na kikanuni ya michezo.
Kwa kawaida, ni muhimu kwa Rais wa nchi kuzingatia majukumu yake kikatiba na kutofautisha majukumu ya mamlaka nyingine za kiserikali na taasisi mbalimbali. Mgogoro kati ya klabu na mchezaji ni suala la kisheria ambalo linapaswa kusuluhishwa na mamlaka husika za sheria na kanuni za michezo.
Rais Samia Anahitaji Elimu zaidi.
Kwa hiyo Rais wa nchi kuingilia kati ktk mgogoro kama huo unaweza kusababisha mchanganyiko wa majukumu na kuingilia uhuru wa mamlaka nyingine. Ni muhimu kwamba kila mamlaka ifanye kazi yake. Kitendo cha Rais kuwapa Incentives mbalimbali basi isiwe sababu ya kuhalalisha kuingiliana ki mamlaka katika mihimili inayo jitegemea kiutendaji.
Rais Samia anahitaji mrejesho, Basi ni wasaa sahihi kuhakikisha anaandikiwa mrejesho wa kumuelimisha kuwa masuala ya migogoro ya kisoka/kimpira yana namna yake ya kutatuliwa. Muelewesheni kuwa zipo sababu za msingi kwanini hili suala linakawia kufikiwa tamati.
Ni vyema akafahamu kuwa uvunjwaji wa taratibu na mchezaji yeyote wa klabu ni lazima kuadhibiwe pasi na kujali kama huyu ni mchezaji wa kizanzibar, wa bara au wa kimataifa. Na hukumu kwa mchezaji wa namna hiyo hautotokwa kwa upendelea wa kibusara eti kwa kisingizio kuwa mchezaji ni mzawa au la.
Mshaurini Rais kuwa licha ya kuyafurahia mafanikio haya madogo ya klabu, kuna watu nyuma ya pazia ambao wanawekeza pesa zao na wasingependa kuona wanapata hasara ktk biashara ya mauzo ya wachezaji. Tukiruhusu kuingilia maamuzi ya taasisi huru ambazo zina sheria zake za usuluhishi basi tunajiweka katika nafasi ya kuwafukuza wawekezaji aina ya wakina GSM na Mo Dewji katika mpira wa Tanzania.
Kuna madhara makubwa sana endapo klabu kama klabu itashindwa kusimamia misingi ya taratibu zake na kusuluhisha migogoro na kesi za kimpira kwa kutumia tu mapendekezo ya wana siasa. Je Mama Samia anatoa ushauri kama nani? Je ni kama mtu mwenye ufahamu wa kanuni na taratibu za uendeshaji wa mpira? au Kama
Kwani Yanga walisema lini kuwa hawataki kumuachia?Kwan Yanga kumuacha Fei wanaona uchungu gani ? Kabeba mikoba ya Yanga au ?
Raisi akikwambia naomba, ni mtego huoKuna watu hawajielewi Tu ..
Hata uungwana wa kusikiliza hawana..
Wamejaa visirani...
Waarabu wapemba hujuana Kwa vilemba...!!Feisali yuko huruu kuanzia jana usiku, bado kuweka wazi kwa umma tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]