Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afuate mkatabaHata kama tuna mapenzi ya SIMBA NA YANGA....
Hatupashwi kuwa vipofu kwa JASHO LA FEI TOTO...
Washabiki ni wanafiki inapokuja issue ni mapenzi tu ya club
Lini alikwambia hajalipwa stahiki zake? Mashabiki wa Simba mnakautaahira fulani!Hata kama tuna mapenzi ya SIMBA NA YANGA....
Hatupashwi kuwa vipofu kwa JASHO LA FEI TOTO...
Washabiki ni wanafiki inapokuja issue ni mapenzi tu ya club
Hujui Mpira Kolo Wewe😁'Injinia Wa Mchongo Mnafiki...
Utatangazaje Biashara Wakati Dirisha dogo Limefungwa?
Kama Hela Zenu mlizoandika ndani Ya Mkataba ndogo Kajichanga Kalipa...
Dogo Kaitumikia Vizuri timu Fadhila Zenu ni Kumkomoa...!
Mpira hautabiriki.! Nani alitegemea ajibu angeisha mapema hivi..? Kumwangalia fei peke yake ni upumbavu..kuna watu wengi wana vipaji kama yanga kuna Job au Bangala Mbona hawalalamiki, hata kina kaseke hawajawahi lialia eti mshahara mdogo kila mtu analipwa kulingana na uwezo wake sio kuleta ustar mavWaswahili husema dai chako uonekano mbaya.
Nahisi mbali ya kushikwa maskio na watu lakini bado dogo alichokuwa anaangalia ni maslahi yake....
Sasa Feisal alikuwa anaidai Yanga? JamanWaswahili husema dai chako uonekano mbaya.
Nahisi mbali ya kushikwa maskio na watu lakini bado dogo alichokuwa anaangalia ni maslahi yake...
Sasa kbsaa fundi wangi .Simba na Azam pmjn na kazumari Ni madunga embeANAYEMTAKA AJE MEZANI[emoji1787][emoji1787].
Simba sc walikusudia wawe mabingwa msimu huu kwa hali na mali. Wakaona Yanga inatembea tu...
Wee mngoni unaongeaa nn'Injinia Wa Mchongo Mnafiki...
Utatangazaje Biashara Wakati Dirisha dogo Limefungwa?
Kama Hela Zenu mlizoandika ndani Ya Mkataba ndogo Kajichanga Kalipa...
Dogo Kaitumikia Vizuri timu Fadhila Zenu ni Kumkomoa...!
Toka lini wanzanzibar wakawa na akili HV Kati ya wazanzibar laki tano unaeza kuta wanna au watano ndio zimo Tena kidgo Sana ,mijitu inaendekeza dini tu elimu saa ngap wataweza kumeza physicis na matheShule ni muhimu sana kwa wachezai wetu
Ngoja Sasa tumuone Kama hao Simba au Azam wataenda kumpa hyo 16 anayo takaUsajili ni wakati wowote ule hufanyika. Ila mchezaji atacheza baada ya hilo dirisha kufunguliwa....
Wew Ni mjinga wa kwanza hapa jfUjinga ni kipaji na mleta mada umebarikiwa iko kipaji.
Mkuu leo Denis Nkane au Kibu wanalipwa kulingana na makubaliano kipindi wanasajiliwa, mwakani viwango bikipanda watataka mishahara mikubwa hata kama mikataba ya awali kwisha?Mpira hautabiriki.! Nani alitegemea ajibu angeisha mapema hivi..? Kumwangalia fei peke yake ni upumbavu..kuna watu wengi wana vipaji kama yanga kuna Job au Bangala Mbona hawalalamiki, hata kina kaseke hawajawahi lialia eti mshahara mdogo kila mtu analipwa kulingana na uwezo wake sio kuleta ustar mav
Unajua kanuni za kimkataba mkuu?Mil4 sio ndogo tatizo akiangalia mchango wake kwa timu na wanacholipwa wakina makambo anaona anapunjwa
Ndio mkuu, ndiomaana fei katumia kanuni kuvunja mkataba, hakulazimisha aongezwe pesaUnajua kanuni za kimkataba mkuu?
Ujumbe umeupata askar wa zenj.