Eng. Hersi, Senzo na Kocha Nabi tunaomba mtuachie klabu yetu!

MAKOLO siku mkichukua kombe lolote la CAF nimekaa pale mniite JIBWA [emoji117][emoji38]

Maana si midomo hiyo Ndugu zangu MAKOLOKOLO FC A.K.A MBUMBUMBU [emoji13]

Mkiumaliza mwendo salama kumbukeni kulipa mihela ya kocha wenu
 
Mimi namshangaa huyu mtu anaejiita tate mkuu, ana quote hoja zangu kwa ujinga wakati nimeshamgundua kuwa yeye ni mpwayungu village, hii ni id yake nyingine

#@Tate Mkuu out
#π™π™šπ™§π™¨π™ž 𝙀π™ͺ𝙩
#π™£π™–π™—π™ž 𝙀π™ͺ𝙩
 
Ukimuoa Mama yako kwa mara ya 1000 inatosha sana maana atakuwa ameshaota nakoz za ukahaba na laana popote pale duniani [emoji16]

Kisa utani wa soka unamtusi mtanzania mwenzio matusi kama haya lol!!!UMEYUMBA SANA MZEE
 
Mtoa uzi ni mjinga asiyejua lolote senzo yuko Yanga?au umelipwa uje kuleta majungu
 

Namfahamu sana huyu jamaa ana ushabiki wa ajabu sana iko siku ataua mtu kwa sababu ya yanga..jamani hizi ni timu tuuu sio baba zetu wala mama zetu wakifanya vibaya tuwakosoe tuu hakuna namna
 
Na Ni kichaa kweli HV anadhani kuendesha club Ni rais rais mm naona hata gsm akivhukuwaa moja kwa moja na Kisha kumkabidh mwanae hakn shida Sina hell za kuachnagia yanga

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Akili zako ni sawa na pic ya ID yako

#π™π™šπ™§π™¨π™ž 𝙀π™ͺ𝙩
#π™£π™–π™—π™ž 𝙀π™ͺ𝙩
 
Namfahamu sana huyu jamaa ana ushabiki wa ajabu sana iko siku ataua mtu kwa sababu ya yanga..jamani hizi ni timu tuuu sio baba zetu wala mama zetu wakifanya vibaya tuwakosoe tuu hakuna namna
Naomba aongee vitu vya msingi na sio kuleta ujinga wake hapa, tusije kumpunguza akili inawezekana ni mtu mzima
 
Hapana mkuu, mimi ni dar young africa

#π™π™šπ™§π™¨π™ž 𝙀π™ͺ𝙩
#π™£π™–π™—π™ž 𝙀π™ͺ𝙩
Mi najua wewe ni Yanga makini,unaona mbali
 
Unbeaten mechi 50 kwa yanga epuka matapeli sisi ndo yanga team bora east Africa.
 
Wakiwaachia ndio jina la utopolo litaisha?

Yanga hakuna timu ya kuweza kushindana klabu Bingwa bali kuwafunga kina Ruvu shooting nk.
 
Pole sana Senzo mbona alishasepa!

Tatizo hamuishii kununua mechi tu,ila na wachambuzi kwa ajili ya propaganda na uongo uongo wa mwingi.

Ingekuwa leo ni mwamuzi wa hapa kwetu,angelaumiwa Karia sana.
Lakini hizi ndiyo mechi za kimataifa
Mchawi wao ni Manara tu mimi namuita Mohamed El Sahaf yule Waziri wa habari wa Sadam Husein. Alikuwa a ona majeshi ya America kwa macho ya nyama yalivyo karibia Baghdad lakini yeye aliwaaminisha Wairaq kuwa jeshi laolinawaangamiza Wamarekani huko jangwani. Manara anasema kikosi cha Yanga mwaka huu kina fika nusu fainali au kuchukua ubigwa wa Africa. 'Hamida' ana mambo na kuwa Yanga itachukua ubigwa wa Tanzania back to back for ten years.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…