aikamatemu
JF-Expert Member
- Jan 29, 2020
- 464
- 1,897
Acha dharau mkuu mjerumani umfungie engine ya mjapani [emoji23][emoji23] kuna dogo ni trucker mzee wa howo siku amekuja kuendesha iveco power star na benz actros akaniambia sasa amepata uelewa kuna magari na makopo yanayotembea