Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Huyu Ni Mdogo wangu Mtoto wa Mjomba.
Alikiwa Injinia wa ujenzi akifanya kazi Nchini Kenya kwa miaka 10 sasa.
Akiwa huko alikuwa akilipia ada ya usajiri na leseni kama kawaida.
Sasa amerudi Nchini miezi miwili iliyopita. Kwa kuwa amepata kazi shirika lingine la kimataifa la Ujenzi ametakiwa kurenew leseni.
Cha kushangaza ameambiwa lazima alipie ada za miaka yote aliyokuwa nje ya Nchi.
Je ina maana walitaka awe analipa Kenya na huku Tanzania?
Je huu sio upigaji?
Alikiwa Injinia wa ujenzi akifanya kazi Nchini Kenya kwa miaka 10 sasa.
Akiwa huko alikuwa akilipia ada ya usajiri na leseni kama kawaida.
Sasa amerudi Nchini miezi miwili iliyopita. Kwa kuwa amepata kazi shirika lingine la kimataifa la Ujenzi ametakiwa kurenew leseni.
Cha kushangaza ameambiwa lazima alipie ada za miaka yote aliyokuwa nje ya Nchi.
Je ina maana walitaka awe analipa Kenya na huku Tanzania?
Je huu sio upigaji?