Engineer aliyekuwa akifanya kazi Nje ya Nchi amerudi, ameambiwa alipie leseni yake madeni ya miaka yote aliyokuwa nje. Je hii ni Sawa au ni Upi

Engineer aliyekuwa akifanya kazi Nje ya Nchi amerudi, ameambiwa alipie leseni yake madeni ya miaka yote aliyokuwa nje. Je hii ni Sawa au ni Upi

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Huyu Ni Mdogo wangu Mtoto wa Mjomba.

Alikiwa Injinia wa ujenzi akifanya kazi Nchini Kenya kwa miaka 10 sasa.

Akiwa huko alikuwa akilipia ada ya usajiri na leseni kama kawaida.

Sasa amerudi Nchini miezi miwili iliyopita. Kwa kuwa amepata kazi shirika lingine la kimataifa la Ujenzi ametakiwa kurenew leseni.

Cha kushangaza ameambiwa lazima alipie ada za miaka yote aliyokuwa nje ya Nchi.

Je ina maana walitaka awe analipa Kenya na huku Tanzania?

Je huu sio upigaji?
 
Huyu Ni Mdogo wangu Mtoto wa Mjomba.

Alikiwa Injinia wa ujenzi akifanya kazi Nchini Kenya kwa miaka 10 sasa.

Akiwa huko alikuwa akilipia ada ya usajiri na leseni kama kawaida.

Sasa amerudi Nchini miezi miwili iliyopita. Kwa kuwa amepata kazi shirika lingine la kimataifa la Ujenzi ametakiwa kurenew leseni.

Cha kushangaza ameambiwa lazima alipie ada za miaka yote aliyokuwa nje ya Nchi.

Je ina maana walitaka awe analipa Kenya na huku Tanzania?

Je huu sio upigaji?
Siku hizi kila sekta ya serikali ni TRA ndogo. Alipie tu maana ni kwa manufaa yake na familia yake.
 
Huyu Ni Mdogo wangu Mtoto wa Mjomba.

Alikiwa Injinia wa ujenzi akifanya kazi Nchini Kenya kwa miaka 10 sasa.

Akiwa huko alikuwa akilipia ada ya usajiri na leseni kama kawaida.

Sasa amerudi Nchini miezi miwili iliyopita. Kwa kuwa amepata kazi shirika lingine la kimataifa la Ujenzi ametakiwa kurenew leseni.

Cha kushangaza ameambiwa lazima alipie ada za miaka yote aliyokuwa nje ya Nchi.

Je ina maana walitaka awe analipa Kenya na huku Tanzania?

Je huu sio upigaji?
Huyo mdogo wako atakuwa amekuja kweye kampeni za uchaguzi mkuu kwa kuwasapoti wapinzani!!!!" ni mawazo tu!!
 
Sawa swali haliongelei manufaa bali Usahihi wa hiyo huduma je ni haki?
Bahati mbaya watoza ushuru wakiwa wanatoza wanaangalia kufikia malengo waliowekewa na sio uhalali wa wanachokikusanya. Nishawahi tozwa service levy na halmashauri ambayo hainipatii leseni ya biashara kisa tu wanatafuta mapato🤣🤣🤣🤣. Yaani nilifanya nao biashara wakakata na service levy wakati inatakiwa nikailipe ninapokatia leseni.
 
Bahati mbaya watoza ushuru wakiwa wanatoza wanaangalia kufikia malengo waliowekewa na sio uhalali wa wanachokikusanya. Nishawahi tozwa service levy na halmashauri ambayo hainipatii leseni ya biashara kisa tu wanatafuta mapato🤣🤣🤣🤣. Yaani nilifanya nao biashara wakakata na service levy wakati inatakiwa nikailipe ninapokatia leseni.
Aisee
 
Back
Top Bottom