Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je ni sawa au sio sawa?Hapo atagongwa na penalty.
Kabla kuondoka au huko unaandika barua rasmi......Ahaa kumbe kuna kusimamisha? Je akiwa Nje angefanyaje?
Basi awe mpole afuate muongozoHaikubaliki lazima u renew pale unapofanyia kazi
kwani akilipa kuna tatizo gani? au ndo mnataka kutuchangisha tena mumeifanya chadema chumauleteHuyu Ni Mdogo wangu Mtoto wa Mjomba.
Alikiwa Injinia wa ujenzi akifanya kazi Nchini Kenya kwa miaka 10 sasa.
Akiwa huko alikuwa akilipia ada ya usajiri na leseni kama kawaida.
Sasa amerudi Nchini miezi miwili iliyopita. Kwa kuwa amepata kazi shirika lingine la kimataifa la Ujenzi ametakiwa kurenew leseni.
Cha kushangaza ameambiwa lazima alipie ada za miaka yote aliyokuwa nje ya Nchi.
Je ina maana walitaka awe analipa Kenya na huku Tanzania?
Je huu sio upigaji?
Hapa chadema inahusika vipi?kwani akilipa kuna tatizo gani? au ndo mnataka kutuchangisha tena mumeifanya chadema chumaulete
Kwa kawaida ndivyo ilivyo Mkuu! Ni lazima ulipie!Je ni sawa au sio sawa?
SanaDuh aiseee bongo ni shida
OkayKwa kawaida ndivyo ilivyo Mkuu! Ni lazima ulipie!
Hii ni njia mpya ambayo najua wengi hawaijui.Kabla kuondoka au huko unaandika barua rasmi......
tena kwenye leseni ikiisha muda wake hujarenew baada ya miaka miwili inafutwa kabisa na ukihitaji tena inabidi uanze upya.Imagine we ni Dereva umeacha kazi za udereva ukafanya shuguli za kilimo. Je unalipa lesini ya nini?
Duuh hii kali. Bora ifutwe uanze upyatena kwenye leseni ikiisha muda wake hujarenew baada ya miaka miwili inafutwa kabisa na ukihitaji tena inabidi uanze upya.
huwezi kuelewa kama haujasoma CUBA!!Hahaha......mbona havihusiani?
Hahaha sawahuwezi kuelewa kama haujasoma CUBA!!
Mwenzako kuandika mtoto wa mjomba anaona kama umempotezea muda wa kusomaWatu wengine bwana......yaani mada iko wazi ila yeye anatoka nje kabisa