Engineer aliyekuwa akifanya kazi Nje ya Nchi amerudi, ameambiwa alipie leseni yake madeni ya miaka yote aliyokuwa nje. Je hii ni Sawa au ni Upi

Kuwa nje alijikuta tu au alijua...hivyo alipaswa kusimamisha kabla hajaacha tu leseni yake kienyeji
Okay hili ni swala jipya ambalo najua watu wengi hawalijui sio tu Maingineer pengine hata kada zingine kama Sheria, PR, HR nk.
 
Wamemuonea wivu na chuki mbaya
Hio ni dhulma wanataka kumfanyia
Ningekua mimi yeye abadilishe uraia aondoke tu kuna fursa nyingi sana kwa profeshen yake huko nje ya nchi.
 
Wamemuonea wivu na chuki mbaya
Hio ni dhulma wanataka kumfanyia
Ningekua mimi yeye abadilishe uraia aondoke tu kuna fursa nyingi sana kwa profeshen yake huko nje ya nchi.
Ukindoa swala la wivu je nini afanye?
 
= usajili.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
ni muhimu aketi chini na wahusika, wakubaliane namna ya kulipa na aendelee na kazi vinginevyo kutafuta huruma kutamchelewesha na kuibua vitu vingine ambavyo inaweza kua ni kuharibu kazi ambayo tayari ameipata πŸ’
 
ni muhimu aketi chini na wahusika, wakubaliane namna ya kulipa na aendelee na kazi vinginevyo kutafuta huruma kutamchelewesha na kuibua vitu vingine ambavyo inaweza kua ni kuharibu kazi ambayo tayari ameipata πŸ’
Huu ni ushauri mzuri.....hata kwa kulipa kidogo kidogo
 
Kuna hafla Moja, umoja wa mainjinia tanganyika wamemuahidi bi kifo ni kifo tu kipepeo ya kufanyia kampeni kwahyo hakuna namna alipe tu ili hela ya mafuta ipatikane pia.
 
Akalipe
 

Naona ni sawa kabisa kulipia kwani KILA LESENI inautaratibu wake
Kwa kuwa huyu muheshimiwa alipata dili la kulipa nje ya nchi kwa kutumia leseni ya hapa nyumbani, tatizo lipo wapi kuilipia? au niseme, alitakiwa awe anailipia kila mwaka ili iendelee kuwa hai...
Sawa tu na wanasheria wanavyo lipia leseni zao kila mwaka nk
 
Lakini alikuwa analipia huko alikokuwa anapractise.....ndio maana inaitwa ni Practising License
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…