Engineer Hersi analeta utani, kweli Kibabage na Israel Mwenda ndio wakakabe mawinga wa Esperence wakiwa wanatafuta goli? Yanga tunatapeliwa na gsm

Engineer Hersi analeta utani, kweli Kibabage na Israel Mwenda ndio wakakabe mawinga wa Esperence wakiwa wanatafuta goli? Yanga tunatapeliwa na gsm

Al Ahly wametafuta sare kwa Orlando ikiwa na wachezaji wengi wa ndani hizi mambo za kuamini wachezaji wa Nje na wanakuja na viwango vya kawaida sio sawa huyu Mwenda ni beki mzuri akipata nafasi na akajiamini basi kinachowaferisha Watanzania wengi ni kutokujiamini na kutowaamini wengine basi..

Taja squad ya orlando pirates , thamani ya wachezaji wao na nchi wanazotoka

Nani amekudanganya orlando pirates inatumia wachezaji wa ndani tupu ?

Timu ina watu wanacheza timu ya taifa ya nigeria halafu unasema ina wachezaji wa ndani tupu
 
Nilikuwa naangalia mazoezi ya Yanga jana au juzi, kuna wachezaji walikuwa wamekaa pembeni wanajiandaa. Aisee nilicheka sana.

Wachezaji kama 6 hivi wamepangana halafu wote ni kimo cha Ali Kamwe.
 
Mimi nilivyoona viongozi wa yanga wametambulishwa kwenye mkutano wa ccm...

Basi nikajua hakuna kazi tena?
 
Nilikuwa naangalia mazoezi ya Yanga jana au juzi, kuna wachezaji walikuwa wamekaa pembeni wanajiandaa. Aisee nilicheka sana.

Wachezaji kama 6 hivi wamepangana halafu wote ni kimo cha Ali Kamwe.
Ok , una uhuru wa kucheka pia,upo timu gani unayocheza?
 
Back
Top Bottom