Engineer Hersi ashinda Uenyekiti wa Umoja wa Vilabu Afrika African Clubs Association, hongera kijana

Aligombea na nani?
Au kateuliwa tu?
 
sawa Mfuasi mtiifu wa Micky Jr
 
Are you normal?
 
Unamsaada gani kwa club yake kwanza pia tz?
 
Kwani Engr Hersi ameshika nafasi sawa na ya kajula? Utaona jinsi ulivyotoka nje ya mstari tukaleta ushabiki
 
Tuletee uthibitisho unaonesha kuwa wengine walikataa

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kwani Engr Hersi ameshika nafasi sawa na ya kajula? Utaona jinsi ulivyotoka nje ya mstari tukaleta ushabiki
Tukienda huko unapotaka utakuja kukuta hata Hersi hakustahili maana siyo mtendaji mkuu wa klabu
 
Hatimaye Yale maombi ya mbumbumbu ya kuwa na kiongozi smart eng. Hersi yamejibiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…