frakitosho
JF-Expert Member
- Dec 13, 2012
- 802
- 256
Hatimaye chuo cha elimu ya biashara CBE kimempata mkuu mpya ambaye ni eng. prof. Emmanuel Mjema.
Wadau mimi najiuliza inakuwaje injinia awe mkuu wa chuo cha biashara?
Hamuoni kwamba ni mambo ya kujuana zaidi?
Wadau mimi najiuliza inakuwaje injinia awe mkuu wa chuo cha biashara?
Hamuoni kwamba ni mambo ya kujuana zaidi?