Engineer kuongoza chuo cha biashara ni sahihi? Soma hapa

Engineer kuongoza chuo cha biashara ni sahihi? Soma hapa

Mkuu unataka kupotosha hoja ya msingi ya frakitosho,yeye kwanza kabisa anakubali Engineer anaweza kuwa kiongozi mzuri katika mambo ya engineering works,kama vile DIT na maeneo mengine yenye uhusiano na engineering works.Lakini kuongoza chuo kinachojiusisha na biashara purely ndiyo inamtatiza!
that isn't always a case mkuu...je unamfaham magufuli??? je yeye kasomea wapi maswala ya ujenzi?? na mbona anaongoza secta za ujenzi na anafanya vizuri! mfano mwingine ni rais wa zanzibar yeye ni daktari lakini mbona kawa rais!! UONGOZI SI ELIMU BALI NI UWEZO WA MTU!!!
 
that isn't always a case mkuu...je unamfaham magufuli??? je yeye kasomea wapi maswala ya ujenzi?? na mbona anaongoza secta za ujenzi na anafanya vizuri! mfano mwingine ni rais wa zanzibar yeye ni daktari lakini mbona kawa rais!! UONGOZI SI ELIMU BALI NI UWEZO WA MTU!!!
Mkuu fuatilia mtililiko wa hoja vizuri,unayepaswa kumjibu ni frakitosho.Mimi nilikuwa najalibu tu kufafanua hoja yake ili umuelewe vizuri!
 
Last edited by a moderator:
that isn't always a case mkuu...je unamfaham magufuli??? je yeye kasomea wapi maswala ya ujenzi?? na mbona anaongoza secta za ujenzi na anafanya vizuri! mfano mwingine ni rais wa zanzibar yeye ni daktari lakini mbona kawa rais!! UONGOZI SI ELIMU BALI NI UWEZO WA MTU!!!


Sio sahihi kufananisha ngazi ya urais na ukuu wa chuo. Rais anaongoza nchi yenye shughuli za aina mbalimbali ikiwamo ile aliyoisomea yeye. Suala linakuja kwenye kuongoza chuo ambacho ni special kwa masomo ya biashara pamoja na kutoa ushauri wa kitaalamu (business consultancy). Je huyu engineer ataweza kusimamia vyema bila kudanganywa na wasaidizi wake? Hebu kumbuka jinsi mama Zakia Meghji alivyozungukwa na wazee wa EPA na akakubali kuidhinisha fedha za EPA "bila kujua" (source yeye mwenyewe). Je angelikuwa mtaalamu wa masuala ya fedha na uhasibu asingeokoa zile fedha za EPA?
 
Sio sahihi kufananisha ngazi ya urais na ukuu wa chuo. Rais anaongoza nchi yenye shughuli za aina mbalimbali ikiwamo ile aliyoisomea yeye. Suala linakuja kwenye kuongoza chuo ambacho ni special kwa masomo ya biashara pamoja na kutoa ushauri wa kitaalamu (business consultancy). Je huyu engineer ataweza kusimamia vyema bila kudanganywa na wasaidizi wake? Hebu kumbuka jinsi mama Zakia Meghji alivyozungukwa na wazee wa EPA na akakubali kuidhinisha fedha za EPA "bila kujua" (source yeye mwenyewe). Je angelikuwa mtaalamu wa masuala ya fedha na uhasibu asingeokoa zile fedha za EPA?
je unaifaham sua? mkuu wa chuo kasoma kilimo?? jamaa ni kiongoz urais pia ni uongozi so unavyosema nisifaninishe sijui unamaanisha nini?? na kama nchi ina shughuli mbali mbali kwani rais hawezi danganywa kwenye zile secta ambazo hazijui?? swala la wizi lipo tu hata kama umesomea au hujasomea!!! cha msingi jamaa kawa mkuu,basi ndo hali halisi mpeni sapoti na sio kukaa na kusema hafai akati watu wamekaa wameona anafaa wakampa nafasi!!!!!
 
Hii mada ilinipita......huyu jamaa anafaa na kaletwa hapo hili kuwanyoosha na kweli ameanza kuwanyoosha.CBE ya miaka ilee na amin si sawa na ya huyu Prof!!!!
 
Sio sahihi kufananisha ngazi ya urais na ukuu wa chuo. Rais anaongoza nchi yenye shughuli za aina mbalimbali ikiwamo ile aliyoisomea yeye. Suala linakuja kwenye kuongoza chuo ambacho ni special kwa masomo ya biashara pamoja na kutoa ushauri wa kitaalamu (business consultancy). Je huyu engineer ataweza kusimamia vyema bila kudanganywa na wasaidizi wake? Hebu kumbuka jinsi mama Zakia Meghji alivyozungukwa na wazee wa EPA na akakubali kuidhinisha fedha za EPA "bila kujua" (source yeye mwenyewe). Je angelikuwa mtaalamu wa masuala ya fedha na uhasibu asingeokoa zile fedha za EPA?

Uongoz ni uongoz tu.....ni namna yakudil na watu wako wachini,wapo viongoz ambao hawana shule kivile lakin wanaongoza vizur na mambo yanakuwa mswano.
Jamani mwacheni tu huyu Prof awanyooshe!!!!
 
Huyo mzinguaj 2 tumeshazoea cbe ya totoz wauza utamu huyo anaharibu chaka lawauni
 
Eng..kuongoza ni sawa kabisa Prof huyo anauwezo wa kuongoza vizuri sana namjua fika,,,To be an Eng doesn't mean you can not rule the college
 
Swala la msingi hapa ungeweka Majukumu ambayo hatafanya kwa ufanisi kwa kutokua Mtaalamu wa mambo ya Biashara... Kabla ya kulaumu kuwa na ushahidi kwanza mkuu.
 
that isn't always a case mkuu...je unamfaham magufuli??? je yeye kasomea wapi maswala ya ujenzi?? na mbona anaongoza secta za ujenzi na anafanya vizuri! mfano mwingine ni rais wa zanzibar yeye ni daktari lakini mbona kawa rais!! UONGOZI SI ELIMU BALI NI UWEZO WA MTU!!!

kwani daktari hawezi kuwa raisi?
 
Eng..kuongoza ni sawa kabisa Prof huyo anauwezo wa kuongoza vizuri sana namjua fika,,,To be an Eng doesn't mean you can not rule the college

Wanaomchukia huyo prof wapenda maovu....hataki upumbavu kabisa baba wa watu!!!Fanya kazi prof,nyumba uliyohamia ni chafu usiogope kusafisha la sivyo hata ww utachafuka.
 
Sijasema kwamba engineer hafai kuwa kiongozi ila ninachomaanisha ni kuwa ni vyema kiongozi akawa ana ujuzi kiasi fulani juu ya kile anachokiongoza. Hata kwenye katiba mpya wengi wamependekeza mawaziri wasiwe wabunge ili watu waweze kuteuliwa kutokana na cv zao. Kwa mfano waziri wa elimu angekuwa mwalimu by profession asingeweza kushindwa kujibu hoja za wabunge kuhusu mitahala ya elimu

Ndugu yangu frakitosho, kwenye mambo ya vyuo haiko hivyo kabisa, Luhanga ni Engeneer wa Umeme na alikuwa anaongoza Chuo pale UDSM chuo kilichokuwa na Facults mbalimbali ambazo sio za kiinjinia, SCience, Arts, Business, Law nk, sasa Luhanga alikuwa anawezaje kusimamia Facult ya sharia wakati yeye ni injinia? ............. hiyo hali unayoisema ni vyuo vyote iko hivyo, usiwe na shaka mambo yataenda tu
 
Last edited by a moderator:
Hatimaye chuo cha elimu ya biashara CBE kimempata mkuu mpya ambaye ni eng. prof. Emmanuel Mjema. Wadau mimi najiuliza inakuwaje injinia awe mkuu wa chuo cha biashara? Hamuoni kwamba ni mambo ya kujuana zaidi?

Kwangu sioni tatizo kama ana uwezo unaohitajika kuongoza hicho chuo.
Mbona head wa MBA pale Open University, Biafra ni Engineer na mambo yanakwenda sawa sawa. Hilo lisikupe taabu mheshimiwa labda jadili uwezo wake. Vile vile sijasikia kuwa Prof Eng Mbwete kashindwa kuendesha OUT simply kwa sababu ni engineer.
 
Kwangu sioni tatizo kama ana uwezo unaohitajika kuongoza hicho chuo.
Mbona head wa MBA pale Open University, Biafra ni Engineer na mambo yanakwenda sawa sawa. Hilo lisikupe taabu mheshimiwa labda jadili uwezo wake. Vile vile sijasikia kuwa Prof Eng Mbwete kashindwa kuendesha OUT simply kwa sababu ni engineer.

Umenichekesha sana mkuu
 
Hatimaye chuo cha elimu ya biashara CBE kimempata mkuu mpya ambaye ni eng. prof. Emmanuel Mjema. Wadau mimi najiuliza inakuwaje injinia awe mkuu wa chuo cha biashara? Hamuoni kwamba ni mambo ya kujuana zaidi?
hujui maana ya uongozi e,,,kama unajua maana ya uongozi basi hata HKL anaweza kuwa waziri wa nishati na madini na aka i run Tanesco /industry hiyo vizuri sana,,
 
Back
Top Bottom