The Dark Father
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,144
- 1,408
Hii hutokea mara nyingi kampuni inapoji-brand upya. Kwamba baada ya muda fulani unakuta initials zinakuwa zinajulikana kuliko kirefu chake.
Hivyo, huwa wanai-rebrand kwa kufanya hizo initials kuwa neno kamili kwa maana ya kwamba kirefu chake kinakuwa hakina maana tena.
Mfano, CRDB Bank.
Au
American Telephone and Telegraph Company ilivyojirebrand upya kama AT&T Corporation (bila kirefu chake hicho) mwaka 1885 hivi.
Kwamba haikubadilika kuitwa 'American Telephone and Telegraph Company Corporation' bali 'AT&T Corporation'.
Na sasa inaitwa just AT&T Inc.
Kifupi, jina likisajiliwa kisheria lina maana hiyo hiyo unless kirefu chake kimekuwa specified.
Hivyo, huwa wanai-rebrand kwa kufanya hizo initials kuwa neno kamili kwa maana ya kwamba kirefu chake kinakuwa hakina maana tena.
Mfano, CRDB Bank.
Au
American Telephone and Telegraph Company ilivyojirebrand upya kama AT&T Corporation (bila kirefu chake hicho) mwaka 1885 hivi.
Kwamba haikubadilika kuitwa 'American Telephone and Telegraph Company Corporation' bali 'AT&T Corporation'.
Na sasa inaitwa just AT&T Inc.
Kifupi, jina likisajiliwa kisheria lina maana hiyo hiyo unless kirefu chake kimekuwa specified.