English Medium mnawachosha watoto wetu.

English Medium mnawachosha watoto wetu.

We mlee kwa uwezo wako. Usije ukafa njaa bure kwa kujikamua vitu ambavyo huna. mwisho wa siku utaishia kwa kiboko ya Wachawi
Siwezi kufanya ujinga huo! Hata member wa familia yangu akifanya apitilize huko huko!
 
Kawaida tafuta shule iliyoko karibu ili kuepuka kuamushwa saa kumi na Moja usiku.maana hivi vi shule vya medium vimekuwa vingi sana na ubora wao kama unafanana tu
 
Nami nimeliona, ni mateso kwa watoto hasa umri wao. Iwekwe sheria kwamba mabasi yote ya watoto yaanze safari saa moja, wenye shule watajua watawekaje ratiba ya masomo. Hizi za taasisi za dini wanakuwa wakali sana, kuna mda wanafunga Gate kama ukichelewa.
 
Wazazi wengi wana angalia "status",
Kwamba watoto wangu wote wana soma private schools (Kusoma private inaonyesha unazo pesa)
Watoto wakijua kuongea English (wanaonekana akili zimo)

Haya ya kutoka saa kumi na moja asb na kurudi saa kumi na moja jioni kama wafanya kazi! HAYA WASHUGHULISHI
 
Kawaida tafuta shule iliyoko karibu ili kuepuka kuamushwa saa kumi na Moja usiku.maana hivi vi shule vya medium vimekuwa vingi sana na ubora wao kama unafanana tu
Kabsa Mkuu
 
Nami nimeliona, ni mateso kwa watoto hasa umri wao. Iwekwe sheria kwamba mabasi yote ya watoto yaanze safari saa moja, wenye shule watajua watawekaje ratiba ya masomo. Hizi za taasisi za dini wanakuwa wakali sana, kuna mda wanafunga Gate kama ukichelewa.
Montessori wa kwanza hapo pamoja na Bismack
 
Wazazi wengi wana angalia "status",
Kwamba watoto wangu wote wana soma private schools (Kusoma private inaonyesha unazo pesa)
Watoto wakijua kuongea English (wanaonekana akili zimo)

Haya ya kutoka saa kumi na moja asb na kurudi saa kumi na moja jioni kama wafanya kazi! HAYA WASHUGHULISHI
Kuna vitoto vimebana kwenye probox mpaka huruma! Vinakusalimia tu Good Morning Sir
 
Hii jambo isipokemewa sasa naona changamoto zifuatazo huko mbeleni;

1. Tatizo la afya ya akili Kwa kuwa watoto hawapumziki hata likizo wanaambiwa waende na wazazi Kwa sababu hawataki kulea wanafutahia. Kuna umri watoto wanapaswa kulala na kuchezà tu

2. Mahusiano madogo sana katika ya wazazi na watoto katika makuzi

3. Watoto hawapati muda WA kuchezà(kujenga psychomotor domain) kuimarisha viungo vya mwili

3. Matatizo ya mgongo Kwa sababu ya uzito WA mabegi

4. Lishe yenye udumavu Kwa kuwa hawali vyakula vya umri wao na wanakula Kwa interval ya watu wazima. Mwalimu hawezi kulisha watoto wote wavivu Kula

Natamani wizara husika ziangalie na kuamua future ya watoto. Sisi hatukulelewa hivyo tukawa hivi tulivyo Leo.
 
Back
Top Bottom