jamaa mfumo wa Wenger umemuua kawa mvivu hakuna.Arshavin hakuna kitu
Alivyokuja alikuwa mkali sana ,siku hizi anaanza kuwa mchovuArshavin hakuna kitu
Hapa leo 6hahahahaha 2-0 Chelsea
Alivyokuja alikuwa mkali sana ,siku hizi anaanza kuwa mchovu
Nafikiri ni red card ile. Ilikuwa rafu ya wazi na isiyo na umuhimu.refa kachemsha kumpa redcard cahill/.
refa kaharibu mpira wa arsenal na red card famba