Enjoy this! Dhana asili ya kuchoma UDI na kuvukiza mavumba

Enjoy this! Dhana asili ya kuchoma UDI na kuvukiza mavumba

Hii mada imenikumbusha mbali kidogo.Siku moja bwana tupo kazini mwenzetu kafungua mkoba kunakitu alikua anatoa.Nkaskia kiarufu flani hivi kizuri,nkamuuliza "best humu kuna nini kinanukia"akaniambia jana yake alinunua udi town so akasaau kuuweka nyumbani.
Nikavutiwa bwana nikamwambia anipe kidogo nikachome na Mimi kwangu.(Nlikua sijawai hizi Mambo.)Akanielekeza mwenyewe.

Nlivofika home na Mimi nimemaliza pilika zangu za jikoni,nikaingia chumbani kuchoma.Nikaingia zangu bafuni nlivofika nkatoa jalo nje.Nurudi chumbani na mwenye nyumba nae kafika(mr).Akaanza kuuliza humu chumbani kuna harufu gani,mi kimya najidai nashangaa, harufu???? Inamana we husikii hii harufu da akaanza kufungua madirisha na mapazia.Aliwaka ilibidi niseme ukweli.Yuko chumba kina harufu kama manzese manzese we mwanamke mbona sikuelewi.Alipiga chafya za maana.Sijawai tena kurudia hicho kitu.
 
Hii mada imenikumbusha mbali kidogo.Siku moja bwana tupo kazini mwenzetu kafungua mkoba kunakitu alikua anatoa.Nkaskia kiarufu flani hivi kizuri,nkamuuliza "best humu kuna nini kinanukia"akaniambia jana yake alinunua udi town so akasaau kuuweka nyumbani.
Nikavutiwa bwana nikamwambia anipe kidogo nikachome na Mimi kwangu.(Nlikua sijawai hizi Mambo.)Akanielekeza mwenyewe.

Nlivofika home na Mimi nimemaliza pilika zangu za jikoni,nikaingia chumbani kuchoma.Nikaingia zangu bafuni nlivofika nkatoa jalo nje.Nurudi chumbani na mwenye nyumba nae kafika(mr).Akaanza kuuliza humu chumbani kuna harufu gani,mi kimya najidai nashangaa, harufu???? Inamana we husikii hii harufu da akaanza kufungua madirisha na mapazia.Aliwaka ilibidi niseme ukweli.Yuko chumba kina harufu kama manzese manzese we mwanamke mbona sikuelewi.Alipiga chafya za maana.Sijawai tena kurudia hicho kitu.
Mshamba huyo... Bado upo nae mpaka sasa hivi au mlishaachana?
 
chumbani kwangu UDI ni mahala pake... Ila cha ajabu niliingia Na mpenz akasema ooh harufu inampa kizunguzungu, Mara anajihis kuzimia Mara ooh anajihis kubanwa pumzi.... Ikabidi aondoke, MSAADA TAFADHALI mana mi natumiaga tu sijui zina athari kwa wengine
May be uko allergic to its according to medicine beyond science I don't knw
 
Hii mada imenikumbusha mbali kidogo.Siku moja bwana tupo kazini mwenzetu kafungua mkoba kunakitu alikua anatoa.Nkaskia kiarufu flani hivi kizuri,nkamuuliza "best humu kuna nini kinanukia"akaniambia jana yake alinunua udi town so akasaau kuuweka nyumbani.
Nikavutiwa bwana nikamwambia anipe kidogo nikachome na Mimi kwangu.(Nlikua sijawai hizi Mambo.)Akanielekeza mwenyewe.

Nlivofika home na Mimi nimemaliza pilika zangu za jikoni,nikaingia chumbani kuchoma.Nikaingia zangu bafuni nlivofika nkatoa jalo nje.Nurudi chumbani na mwenye nyumba nae kafika(mr).Akaanza kuuliza humu chumbani kuna harufu gani,mi kimya najidai nashangaa, harufu???? Inamana we husikii hii harufu da akaanza kufungua madirisha na mapazia.Aliwaka ilibidi niseme ukweli.Yuko chumba kina harufu kama manzese manzese we mwanamke mbona sikuelewi.Alipiga chafya za maana.Sijawai tena kurudia hicho kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna nyie na kuna sisi ambao uwa hatujari izo harufu ziwepo zisiwepo kikubwa uhai tu ..
 
Back
Top Bottom