Enrique Iglesias vs Ed Sheeran

Asante kwa chai
Huo wimbo ulinipa mke buashee, maana nilikua nafanya kumuimbia kabisa, demu akaona huyu sio ndio hero mwenyewe, nikaweka ndani mazima mpaka leo ni my wife wangu na tuna watoto wawili
Chai
 
Ed is the best! Very genius! Album yake ya divide inaprove jamaa ni writer na vocalist wa hatar sana! Thinking out loud, happier, beautiful people, perfect, supermarket flower, sorry (wa justin bierber ameandika ed) dah jamaa ni fundi zaid kwa upande wangu naona na ni bado mdogo (29) ana nafasi ya kufnya makubwa zaid.
 
Namkubali zaidi Ed Sheeran.
Dogo yupo vizuri kuliko kawaida.
Ni bonge moja la fundiiiiiii
 
Ed sheeran ni Fundi mazee.. Ana nyimbo zake nyingi ziko poa... Album yake hii ya mwisho hadi wahun wanaskiliza coz kafanya collabo na watu wakali ki hip hop zaidi...


mchiz anaimba sanaaa... Ni song writer mkali sanaaa... String guitar anaicharanga vyema, af jamaa Anachana sanaa... Kuna ngoma inaitwa "Eraser" hii ngoma ina punch lines za hatari.

Upande wa loves songs ndo kabisaaaa, think out loud, perfect, photograph, one, heart don't break around here etc.

Kwa ufupi, Ed sheeran ni fundi coz amecover sehem nyingi sana katika mziki wake.
 
Huo wimbo ulinipa mke buashee, maana nilikua nafanya kumuimbia kabisa, demu akaona huyu sio ndio hero mwenyewe, nikaweka ndani mazima mpaka leo ni my wife wangu na tuna watoto wawili
Bado unamuimbia?
Au ulikua utoto
 
Ed ni noma sana
Ila kitu cha Hero achana nacho kabisa tumuache jamaa wa kuitwa Enrique
 
Nadhani ana nyimno nyingi ambazo ni romantic, si unajua hawa wadada wanependa soft songs, mfano Hero, My number one, hizo ni nyimbo ambazo ziliwabamba madada wengi sana
Japo ni mwanamuziki wa nyakati mbili tofauti, Enrique is ❤
Nqa uzuri unachangiamo.

Ed ana sura personal sana ya kizungu plus na zile nywele.
Kama Shivo.
Hapana kwa kweli.
My yes to Enrique.
Mana wote wana sauti nzuri, mashairi mazuri.

Enrique pamoja na Umri kwenda ana swags (runs in the family naona.babake alikuwa anasumbua na yeye)
Ed mzungu wa Mashariki ya Mbali mno banaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…