Enrique Iglesias vs Ed Sheeran

Enrique Iglesias vs Ed Sheeran

Tumuue tu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sa unaongopaje wallahi.

Kuna these eyes hakyamama.
Ziko na piercing feelings flaaaaan hivi.
Weeee, walisema tuangalie hits na sauti.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Acha kabisa.
Embu tujikite kwenye madaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yes ndugu, Mungu amenijalia sauri nzuri ya kuimba, sasa huyu mama nilikua nampenda na nilijua udhaifu wake alikua anapenda sana soft songs, nikajisogeza karibu, siku moja ilikua birthday yake nikamwomba twende out, hapo alikua ananizungusha bado mara staki nataka, nikasema ngoja nijitose tu liwalo na liwe, baada ya dinner nikamwambia nina zawadi yako ya birthday, halafu nikashusha hilo songi, demu mpaka mavhozi yakamtoka, basi kuanzia hiyo siku nikaanza kula kimasikhara, akikasirika tu namwimbia anatulia mpaka leo ni lovely wife with beautful kids bro
Izo ni stories za zamani, vijana wa sasa ivi hadi mama yenu mdogo akubali ni pale anaona unakata roho ndio hapo mnapoanza kuwa wapenzi
 
Kipindi cha nyuma kabla sijaacha kusikilza rnb Nikisikilza Rythm Devine ya Enrique huwa nasema ni msanii bora kbs aliyajaliwa sauti.
Huu wimbo ni mkali sana uliwa umetulia unausikiliz
 
Back
Top Bottom