onlyalvira
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 1,499
- 3,113
Kwa enrique kuwa tu fwalaHahahahhahahhahaha
Nacheka huku kama fwaaaala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa enrique kuwa tu fwalaHahahahhahahhahaha
Nacheka huku kama fwaaaala
Tunaangalia vyote bhana kwann hits na sauti tu[emoji2][emoji2]Sa unaongopaje wallahi.
Kuna these eyes hakyamama.
Ziko na piercing feelings flaaaaan hivi.
Weeee, walisema tuangalie hits na sauti.
Best kwako mwenyeweAm not blowing my own horn or anything [emoji28] but am the best ...
Nakazia mkuuEnrique Iglesia ni legend!
Huyu Ed Sheeran ashindane na watoto kama Khalid na Shawn Mendez!
Hongera wengine tuna sauti ya zege tukiimba bora kuongeaYes ndugu, Mungu amenijalia sauri nzuri ya kuimba, sasa huyu mama nilikua nampenda na nilijua udhaifu wake alikua anapenda sana soft songs, nikajisogeza karibu, siku moja ilikua birthday yake nikamwomba twende out, hapo alikua ananizungusha bado mara staki nataka, nikasema ngoja nijitose tu liwalo na liwe, baada ya dinner nikamwambia nina zawadi yako ya birthday, halafu nikashusha hilo songi, demu mpaka mavhozi yakamtoka, basi kuanzia hiyo siku nikaanza kula kimasikhara, akikasirika tu namwimbia anatulia mpaka leo ni lovely wife with beautful kids bro
La pili ndo jibu😂😂Bado unamuimbia?
Au ulikua utoto
Suati ya 7 kama yanguHongera wengine tuna sauti ya zege tukiimba bora kuongea
This dude is yummie tu jamani watuache kidogoKwa enrique kuwa tu fwala
So yummieThis dude is yummie tu jamani watuache kidogo
Na mie nasura kama ya Enrique 🥸Jamani..jamani.. Enrique 😍😍 acheni bwana..wa juu anasura ya watu wa zamani😃
Umeongea ukweli mtupu.. tena umetoka moyoni.. sura beberu acha wapambane na hali zao 🥸Kuna mwanaume anaweza akawa amekukosea..ila akikuangalia tu na kuanza kuongea..wallah utajikuta wewe ndiyo waomba msamaha sasa bado hajaanza kukuimbia..uwiii!!..mnyevuko na vichururuuu😋...mwanaume mfano wa Enrique unamkaziaje kwa mfano..!!!😂😂💃💃💃💃
😂😂😂😂 Unajipigia pande au siyoNa mie nasura kama ya Enrique 🥸
,😂😂😂😂💃💃💃💃Umeongea ukweli mtupu.. tena umetoka moyoni.. sura beberu acha wapambane na hali zao 🥸
Ebu sikia haka kidogo.. ukiniona tu unaweza jikuta mlowo huo ☺☺😂😂😂😂 Unajipigia pande au siyo
,😂😂😂😂💃💃💃💃
Ebu sikia haka kidogo.. ukiniona tu unaweza jikuta mlowo huo ☺☺
View attachment 1648190
Ngoja nizisikize..na ka weekend kalivyo katam Sasa😍
Safi sana.. hapa sijutii kupitia huu uzi wa Twin wangu Enrique 🥸🥸Ngoja nizisikize..na ka weekend kalivyo katam Sasa😍
Embu nione kapicha kama Kweli ni twin wa enrique😜