Enyi Manabii wa kizazi kipya ni kweli mmepewa nguvu na Mwenyezi Mungu, au ni ushirikina tu?

Manabii wa uongo wapo na wa kweli wapo...

Kazi ipo kwako wewe ambaye unaongozwa na mwili na kukariri neno bila kulifanyia kazi...

Wanaoongozwa na Roho Mtakatifu wanajua Nabii wa kweli na wa uongo...
Wewe nabii wako si kuhani mussa wa temboni?
Yule anayetumia ndoo na kitambaa kutambua wachawi na watesi wenu?

Na wewe umepotezwa naye.
 
Mungu hayupo.

Dini ni utapeli.
Mafundisho kuhusu uwepo wa Mungu yanapatikana katika Biblia, hasa katika sehemu kama vile Kitabu cha Mwanzo hadi Kitabu cha Ufunuo.

Kwa Uislam, mafundisho yanapatikana katika Quran.

Mkuu, Mungu yupo ila epuka manabii wa kizazi kipya, Maana vitabu vya kidini hakuna sehemu iliyo andikiwa kuwa kuna manabii wapya watakuja.
 
• Umetoa neno zuri mkuu, sasa kwa nini mungu anamua yote haya yatokee?,
• Je ametuchoka? Au ametupa mtego wa kiimani?
 
• Umetoa neno zuri mkuu, sasa kwa nini mungu anamua yote haya yatokee?,
• Je ametuchoka? Au ametupa mtego wa kiimani?
Sasa umesha ambiwa umejua mema na mabaya basi tenda mema usitende mabaya ...ukitenda mema utalipwa mema ukitenda mabaya utalipwa mabaya sasa mungu alaumiwe kwa lipi ? Au wewe ndiyo umekataa kulipwa mema kwa kutenda maovu ?
 
Wewe unao uwezo wa kuthibitisha kuwa hayupo ?
Labda atakua hana imani na muumba wake,
uumbaji wa binadamu, kama vile Mwanzo 1:26-27 inayosema kwamba Mungu alimuumba mwanadamu kwa mfano wake.
 
Asante sana mkuu, Kwa mchango wako mkubwa 🙏🙏
 
Mkuu, Kwa hiyo unasadiki manabii waliopo sasa ni sahihi,???
 
Halafa sasa ukifatilia jinsi mvua inavyo tokea, kama unaakili timamu lazima ukiri mungu yupo.
Ni kweli mkuu, Katika muktadha wa Biblia, kuna maandishi mengi yanayozungumzia mvua. Kwa mfano, Agano la Kale linajumuisha hadithi ya Nuhu na safina, ambapo Mungu alileta mvua kwa siku 40 na usiku 40. Hii inapatikana katika kitabu cha Mwanzo, hasa Mwanzo 7:12.
 
Nuhu na safina , juma na uledi na ile ngoma kubwa ya kuchezea mpira.
 
Sasa umesha ambiwa umejua mema na mabaya basi tenda mema usitende mabaya ...ukitenda mema utalipwa mema ukitenda mabaya utalipwa mabaya sasa mungu alaumiwe kwa lipi ? Au wewe ndiyo umekataa kulipwa mema kwa kutenda maovu ?
Asante sana mkuu, Kwa mchango mzuri ✍️✍️✍️.
 
Mfano wa nabii wa kweli unaweza kuwa

1. kama Nabii Muhammad katika dini ya Kiislam, au

2. Nabii Isa katika Ukristo. Wote walikuwa viongozi wa kiroho na waleta ujumbe muhimu kwa watu wao
Sahihisho: kwenye Ukristo hakuna Nabii Isa.

Mada yako ni njema sana na fikirishi kwa Wakristo. Thanks.
 
Haijalishi hata kama ni wa uongo wapo wanaokolewa nao,wakishaijua kweli ujitenga nao.
Acheni magugu na ngano vimee kwa pamoja wakati ukifika vitatenganishwa
 
Sahihisho: kwenye Ukristo hakuna Nabii Isa.

Mada yako ni njema sana na fikirishi kwa Wakristo. Thanks.
• Nabii Isa ni jina la Kiarabu linalotumika kumtaja Yesu Kristo katika dini ya Kiislam.

• Yesu Kristo anachukuliwa kama nabii wa pekee na wa kweli.

Asante sana mkuu, Kwa masahihisho 🤝🤝
 
Haijalishi hata kama ni wa uongo wapo wanaokolewa nao,wakishaijua kweli ujitenga nao.
Acheni magugu na ngano vimee kwa pamoja wakati ukifika vitatenganishwa
Mkuu, Kama nabii ni wa uongo, ataokoa vipi wanadam kutoka kwenye shida zake.??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…