Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Kwanini mkuu?Ukishaona mtu anajiita nabii halafu anaongoza kanisa kama muhubiri, hapo changanya na za kwako...
Mbona kuna ambao ni Manabii na wana karama za kuhubiri...
Kuna watu wamepewa karama zaidi ya moja na Mungu.