Haisaidii kuacha kuwaambia bayana. Kwa Hakika mmejisahau mno.
Kwamba mna agenda zisizokuwa na baraka zetu? Kwamba hata mna tozo mlizo asisi nyie, tusizoziafiki?
Kwingine mbona si hivyo?
Nyie hata mnatuasa kwamba kama vipi hata Burundi nayo ni nchi?
Alisema Mwalimu: "Nchi siyo mashamba yenu." Mwisho wa kumnukuu.
Kwamba mna agenda zisizokuwa na baraka zetu? Kwamba hata mna tozo mlizo asisi nyie, tusizoziafiki?
Kwingine mbona si hivyo?
Nyie hata mnatuasa kwamba kama vipi hata Burundi nayo ni nchi?
Alisema Mwalimu: "Nchi siyo mashamba yenu." Mwisho wa kumnukuu.