Embu jaribu uwe unasoma pia ulichoandika kabla ya kukipost, kusudi ulekebishe makosa madogo madogo yatakayo fanya ueleweke una lenga Nini, lakini kwa kukusaidia Ni kwamba mh Rais anafanya kazi kubwa Sana na amekuwa mtumishi mwema kwa watanzania tangia aliposhika mamlaka na madaraka ya kuwa Rais na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama
Mh Rais Ni msikivu na mnyenyekevu kwa watanzania maana anajuwa watanzania ndio mabosi, ndio maana unaona namna anavyokubalika kila Kona ya nchi kama namna alivyowekeza huduma za kijamii kila Kona ya nchi hii , zinazogusa kila mwananchi hasa mnyonge