Enyi Wakiristo mnaomuabudu Yehova kamwe hamtaingia peponi, kwani pepo imeandaliwa kwa binadamu waliokufa ilihali wanamuabudu Allah peke yake!

wanawake waliotoka duniani na kuingia peponi watakuwa wanawake wazuri sana. Hakuna ambaye hataridhik kwa yale atakayoyapata peponi.
Sawa ila lazima wawe na nyege sasa watasaidiweje ikiwa waume zao wamepewa bikra 72.
 
YESU ANASEMA KUWA ATAINGIA PEPONI KWA MUJIBU WA BIBLIA

LUKA 23:43

Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi."


Hivyo waislam pamoja na YESU tutakuwa pamoja PEPONI
Soma ya kiharmenia au kizungu uone palipoandikwa peponi
 
Wadau hamjamboni nyote?

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia

Wagalatia hamna nafasi peponi labda muamue kumuabudu Mungu wa haki pekeyake yaani Allah

Jioni njema

Huyu ndiye Allah mwenyewe,mungu wa KIPAGANI [aliyeanzia misri],mungu mwenye ahadi za kishetani kwa waumini wake [ngono kwa mabikra na kunywa pombe].
Ni lini mtaukataa ujinga na kuwa werevu hata mgundue kuwa mnamwabudu shetani?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia

Wagalatia hamna nafasi peponi labda muamue kumuabudu Mungu wa haki pekeyake yaani Allah

Jioni njema
Dogo, shetani (Allah) anaabudiwa na Waisalm tu na ni kwa sababu hawajuwi ukweli wa dini yao kuwa ni ya mashetani / majini
 
H
Wadau hamjamboni nyote?

Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia

Wagalatia hamna nafasi peponi labda muamue kumuabudu Mungu wa haki pekeyake yaani Allah

Jioni njema
Hakuna mkristu anayekwenda peponi. Peponi ni kwa wapagani wasiomuabudu Yesu. Wakristo wanakwenda mbinguni mahali patakatifu.
 
Hivi upo serious kabisa au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…