Enyi wanawake acheni ligi na wanaume mtaumia

Kama dada Numbi alivyosema hapo juu, mkanye huyo binti wa dukani kwako. Masuala ya story mpaka mtu anashika simu ya bosi wako ni maujinga na sio ya kuchekea. Kesho akikuta funguo za gari nazo atashika azishangar like wtf!!! Haya mazoea kwenye ofisi za watu sio kabisa. Ushost shost uliuponza. Ni rahisi sana mtu kukuchorea raman hasa akiwa mpinzani wako. Mtu anaekaa dukani kwako anatakiwa mipaka kiaina sio mazoea ya kima*i....
 
Yaani mkuu usisamehe kabisa hiyo umbwa takataka.

Dah! Halafu ndo nakuta ni Sister wangu, maake naye ana Saloon ya kike na hapatikani😁

Aweee, usister pembeni, nyoosha hiyo umbwa
Ni kwenda hao hiv hiv wana mambo ya kipuuzi sana hawa yani wanapenda sana kuonewa huruma wakat wao hawana huruma hata punje
 
Yaani mkuu usisamehe kabisa hiyo umbwa takataka.

Dah! Halafu ndo nakuta ni Sister wangu, maake naye ana Saloon ya kike na hapatikani😁

Aweee, usister pembeni, nyoosha hiyo umbwa
Ni kwenda hao hiv hiv wana mambo ya kipuuzi sana hawa yani wanapenda sana kuonewa huruma wao hawana huruma hata punje
Haki yake. Ulitaka kwanamke ashindane na nani?
Ndo nampa haki yake sasa unashangaa nini
 
Ni kwenda hao hiv hiv wana mambo ya kipuuzi sana hawa yani wanapenda sana kuonewa huruma wao hawana huruma hata punje

Ndo nampa haki yake sasa unashangaa nini
Huwajuwi wanawake, usidhani umeshinda.

Anakuweka deka huyo.

Huwezi kushindana nan
kiumbe kilichokuweka tumboni miezi na miezi na kikakuchambisha kwa vidole.
 
Huhitaji kumlipa mtu mjinga kwa ujinga wake chief. Ungemuonyesha wewe ni Smart Zaid yake kwa kumsamehe angejifunza kitu. Life is full of experience mkuu. Kila tunajifunza kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…