FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,246 Reaction score 123,145 Apr 20, 2024 #141 Gerrald kimaro said: So huyo dada alivyomlipisha jamaa laki tatu ni sawa ila jamaa kudai simu yake sio sawa na ukiambiwa huna akili hutaki🚮😂😂 Click to expand... Porojo tu huyo. Story za mtandao tu hizi, 99% story yake haina ukweli. Paukwa pakawa, ukweli njoo, uongo njoo, utam kolea.
Gerrald kimaro said: So huyo dada alivyomlipisha jamaa laki tatu ni sawa ila jamaa kudai simu yake sio sawa na ukiambiwa huna akili hutaki🚮😂😂 Click to expand... Porojo tu huyo. Story za mtandao tu hizi, 99% story yake haina ukweli. Paukwa pakawa, ukweli njoo, uongo njoo, utam kolea.
Rashidi Jololo JF-Expert Member Joined Sep 21, 2022 Posts 1,704 Reaction score 2,858 Apr 20, 2024 #142 FaizaFoxy said: Porojo tu huyo. Story za mtandao tu hizi, 99% story yake haina ukweli. Paukwa pakawa, ukweli njoo, uongo njoo, utam kolea. Click to expand... Huna mume? Usiku huu wote amekuacha tu, au mna ugomvi umelala kwa watoto?
FaizaFoxy said: Porojo tu huyo. Story za mtandao tu hizi, 99% story yake haina ukweli. Paukwa pakawa, ukweli njoo, uongo njoo, utam kolea. Click to expand... Huna mume? Usiku huu wote amekuacha tu, au mna ugomvi umelala kwa watoto?
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,246 Reaction score 123,145 Apr 20, 2024 #143 Rashidi Jololo said: Huna mume? Usiku huu wote amekuacha tu, au mna ugomvi umelala kwa watoto? Click to expand... Akili kubwa hujadili maendeleo. Akili za kawaida hujadili matukio. Akili mbovu hujadili watu.
Rashidi Jololo said: Huna mume? Usiku huu wote amekuacha tu, au mna ugomvi umelala kwa watoto? Click to expand... Akili kubwa hujadili maendeleo. Akili za kawaida hujadili matukio. Akili mbovu hujadili watu.