Chief Kumbyambya
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 719
- 2,408
- Thread starter
- #41
Hata hivi bado mi ni player naendelea tu kuwachezea uvunguMwanaume akiita mwanamke Demu....,ni Kama bado ni playboy ivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hivi bado mi ni player naendelea tu kuwachezea uvunguMwanaume akiita mwanamke Demu....,ni Kama bado ni playboy ivi
Yeah ndicho nilichomaanisha mkuuHata hivi bado mi ni player naendelea tu kuwachezea uvungu
Ndio maana yakeUnamaanisha simu Yako Ina gharama kuliko Mzigo Ulio ndani ya frame Yako!!
Eeee naifahamu vzr, lkn Kwa mada ya jamaaa hapa haikutakiwa kufika mistar 10hujakosea,,ila kuna mada zingne zinahitaji maelezo yaliyo shiba,,labda nkuulze iv unaifaham essay ya history?
Hili ndiyo lengo langu ila nataka ahenye kiasi flani sio apate mteremko tuMsamehe tu
Au mpunguzie deni kiume
aah ad apa ushanishinda kwa hoja🙌🏾😂🏃🏾♀️Eeee naifahamu vzr, lkn Kwa mada ya jamaaa hapa haikutakiwa kufika mistar 10
Yule yalikaa sawa ni wale wameachiwa vitega uchumu na wazazi wao sasa wanajifanya wana hasira sana ya kidai Kodi na hawafanyi kazi yoyoye.watu mnavituko sasa ugomvi na mwenye pango uliishia wapi..?🤣🤣
😂😂Ukimlipia utakua umempunguzia nusu nitakua namdai 1,500,000Hahahaha vip nkisema nimlipie
Aiseee blue ameanza lini kufoka? ila nimekupata dada. Maana hata huyo blue mwenyewe ni dada tu, si kalapina aliwahi kumtolea posa au sio huyu? Eti sista nikumbushe pia hiyo nyimbo ya blue kashirikiana na nani!?Mwanamuziki wa miondoko ya kutoka foka Mr Blue aliwahi kusema kua MWANAUME HASHINDANI NA SIDIRIA..
Umefeli Big Time...beat it au wote walewale mtu na shost yake mnawekeana vinyongo??