kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Kucheza na mind yake ndiyo kufanyaje huko? uzungu ukizid bwana mtoto take bakora tuu hata maandiko yameandika hiloAcha kupiga, cheza na Mind yake utanikumbuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kucheza na mind yake ndiyo kufanyaje huko? uzungu ukizid bwana mtoto take bakora tuu hata maandiko yameandika hiloAcha kupiga, cheza na Mind yake utanikumbuka.
Wazazi wana mentality za kikuda sana, kuchelewa ni sehemu ya maisha kwani wewe kwenye makuzi yako hujawahi pitia hiyo??mimi 5'8, wife 5'4, mtoto 16 years 6'0 kasoro
leo alichelewa kurudi na imeanza kuwa kama tabia ikabidi nisimame nimgombeze, Ile hofu aliyokuwa nayo hapo zamani pindi akikosea siwezi kuiona tena, ni kama vile anaona kisa urefu tunaweza kuendana.
Ukitaka mentality isiyo ya kikuda we si ukaanzishe mji wako? Huko hata usipo rudi hakuna wa kukuuliza , ila ukiwa bado unanitegemea mimi kama mzazi kwa kila kitu lazima uendane nanninavyo taka uwe ilimradi tuu iwe ni kwa nia njema , Yaani kikuveshe pampas mwenyewe halafu sahizi uanze kunipangia unayo yataka wewe kwenye nyumba yangu!? Hapo ubaba/umama utakuwa na kazi gani sasa ?Wazazi wana mentality za kikuda sana, kuchelewa ni sehemu ya maisha kwani wewe kwenye makuzi yako hujawahi pitia hiyo??
Kwa miaka yake inapaswa umueleweshe zaidi ya makaripio
Wengi hawajui ni umri gani wa kumfunza mtoto yale unayo yaamini wanakuja kushtuka kwa kuchelewa sanaKuna vitu ukishavikosea kwenye maisha especially katika familia na malezi ya watoto, vitakupa shida sana huku sisi tukishangaa unashindwaje ku deal navyo??
Ni kweli, japo hili zoezi ni gumu sana.Wengi hawajui ni umri gani wa kumfunza mtoto yale unayo yaamini wanakuja kushtuka kwa kuchelewa sana
Hapana sio gumu ,mtoto anatakiwa ajue misimamo yako kuanzia pale anapo anza ,kuongea unaenda nae taratibu kwa kimoja kimoja ,usimpuuze ukasema bado mdogo hajui kitu hapo ndipo utamchelewaNi kweli, japo hili zoezi ni gumu sana.
Aanza kujifunza karate mapema la sivyo dogo atakukalisha na mimbata😂😂😂.mimi 5'8, wife 5'4, mtoto 16 years 6'0 kasoro
leo alichelewa kurudi na imeanza kuwa kama tabia ikabidi nisimame nimgombeze, Ile hofu aliyokuwa nayo hapo zamani pindi akikosea siwezi kuiona tena, ni kama vile anaona kisa urefu tunaweza kuendana.
Sahihi kabisaaHapana sio gumu ,mtoto anatakiwa ajue misimamo yako kuanzia pale anapo anza ,kuongea unaenda nae taratibu kwa kimoja kimoja ,usimpuuze ukasema bado mdogo hajui kitu hapo ndipo utamchelewa
Mie mwenyewe mzee wangu nlikuwa namuona mtata sana kwa wakati huo, ila kwa sasa nimejua kumbe kuna vitu alikuwa akinifunza na nimeona vinanisaidia sana katika malezi ya hawa vijana wanguMtu mtata ni mtata tu tena mfano vile vizee vya usambaani baadhi ni vitata balaa!!😁😁
ulimleta wewe amuhudumie nani..?? akitoka nje akipata balaa unaanza kulia mpaka vimishipa ushenzi vinakusimama!.. waafrika tuna tabu sana kwenye malezi halafu unataka huyo mtoto aje kuwa gen z...😂Siunamwita unamwambia akatafute sehemu ya kulala nakula nakuvalishwa tu pap kama haniheshimu ila ukiona hueshimiwi mama ndio analisha familia