Enzi za Dkt. Bashiru kabla hajaonja ladha ya Madaraka

Enzi za Dkt. Bashiru kabla hajaonja ladha ya Madaraka

Last emperor

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2015
Posts
10,351
Reaction score
9,855
Nawasalimia wana jukwaa la Great Thinkers!

Kuna usemi unasema siku hizi ogopa Mungu na Technolojia. Hii imekuja kuwaumbua watu wengi sana ambao walisema mambo tofauti na mambo ambayo walikuja kuyaishi baadae. Dk. Bashiru Ally alikuwa muumini mkubwa sana wa katiba mpya na alipinga kwa nguvu kubwa uroho wa madaraka wa wanasiasa, akisisitiza kuwa Katiba ni takwa la nyakati kwaajili ya ustawi wa nchi. Lakin siku zilivyoenda alivyokuja kuonja utamu wa madaraka alibadilika kabisa. Hali hii sasa tunaenda kuiona kwa Mama Samia Suluhu.

Mikutano yake ya mwanzo baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alikuwa kila akihutubia "ulimi unateleza" na anatamka neno katiba mpya na akakiri kuwa lipo kichwani pake hasa. Lakin baada ya miezi mitatu ya kushikilia madaraka, ameshaanza kusema kipaumbele chake ni uchumi na katiba mpya itasubiri, mpaka lini hatujui.

Ninachoona hapa kilichompata Dk. Bashiru kabla hajayaonja madaraka ndicho kinachompata Rais Samia Suluhu baada ya kukamatia madaraka.


Hapa ni kabla hajaonja na madaraka.


20210530_064208.jpg

Na hapa ni baada ya "kuula".
 
Nawasalimia wana jukwaa la Great Thinkers!

Kuna usemi unasema siku hizi ogopa Mungu na Technolojia. Hii imekuja kuwaumbua watu wengi sana ambao walisema mambo tofauti na mambo ambayo walikuja kuyaishi baadae. Dk. Bashiru Ally alikuwa muumini mkubwa sana wa katiba mpya na alipinga kwa nguvu kubwa uroho wa madaraka wa wanasiasa, akisisitiza kuwa Katiba ni takwa la nyakati kwaajili ya ustawi wa nchi. Lakin siku zilivyoenda alivyokuja kuonja utamu wa madaraka alibadilika kabisa. Hali hii sasa tunaenda kuiona kwa Mama Samia Suluhu.

Mikutano yake ya mwanzo baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alikuwa kila akihutubia "ulimi unateleza" na anatamka neno katiba mpya na akakiri kuwa lipo kichwani pake hasa. Lakin baada ya miezi mitatu ya kushikilia madaraka, ameshaanza kusema kipaumbele chake ni uchumi na katiba mpya itasubiri, mpaka lini hatujui.

Ninachoona hapa kilichompata Dk. Bashiru kabla hajayaonja madaraka ndicho kinachompata Rais Samia Suluhu baada ya kukamatia madaraka.

View attachment 1835474
Hapa ni kabla hajaonja na madaraka.


View attachment 1835502
Na hapa ni baada ya "kuula".
Umaskini na ujinga ni kitu kibaya sana katika hii dunia
 
Nawasalimia wana jukwaa la Great Thinkers!

Kuna usemi unasema siku hizi ogopa Mungu na Technolojia. Hii imekuja kuwaumbua watu wengi sana ambao walisema mambo tofauti na mambo ambayo walikuja kuyaishi baadae. Dk. Bashiru Ally alikuwa muumini mkubwa sana wa katiba mpya na alipinga kwa nguvu kubwa uroho wa madaraka wa wanasiasa, akisisitiza kuwa Katiba ni takwa la nyakati kwaajili ya ustawi wa nchi. Lakin siku zilivyoenda alivyokuja kuonja utamu wa madaraka alibadilika kabisa. Hali hii sasa tunaenda kuiona kwa Mama Samia Suluhu.

Mikutano yake ya mwanzo baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alikuwa kila akihutubia "ulimi unateleza" na anatamka neno katiba mpya na akakiri kuwa lipo kichwani pake hasa. Lakin baada ya miezi mitatu ya kushikilia madaraka, ameshaanza kusema kipaumbele chake ni uchumi na katiba mpya itasubiri, mpaka lini hatujui.

Ninachoona hapa kilichompata Dk. Bashiru kabla hajayaonja madaraka ndicho kinachompata Rais Samia Suluhu baada ya kukamatia madaraka.

View attachment 1835474
Hapa ni kabla hajaonja na madaraka.


View attachment 1835502
Na hapa ni baada ya "kuula".
Mwendazake alimziba mdomo....!
 
Mwendazake alimziba mdomo....!
Bashiru alipokuwa UDSM na mwanachama wa CUF alikuwa bingwa wa kuongea masuala ya haki, demokrasia, usawa na Utawala bora.

Alipoletwa CCM na Binamu yake Mrundi mwenzie Magufuli akawa ndiye ana ratibu dhuluma dhidi ya upinzani. Ameshiriki kuwanunua akina Gekul, Silinde na Patrobas. Ameshiriki kuiba uchaguzi wa Serikali za mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020. Na aliwahi kunukuliwa akisema "Tutatumia dola kubaki madarakani"

Huyu mrundi ndiye ambaye Magufuli alikuwa anamuandaa kupokea U-RAIS wa Tanzania baaada ya mwenyewe kutosheka. Ila Mungu wetu ana maguvu, kasema HAPANA.
 
Nawasalimia wana jukwaa la Great Thinkers!

Kuna usemi unasema siku hizi ogopa Mungu na Technolojia. Hii imekuja kuwaumbua watu wengi sana ambao walisema mambo tofauti na mambo ambayo walikuja kuyaishi baadae. Dk. Bashiru Ally alikuwa muumini mkubwa sana wa katiba mpya na alipinga kwa nguvu kubwa uroho wa madaraka wa wanasiasa, akisisitiza kuwa Katiba ni takwa la nyakati kwaajili ya ustawi wa nchi. Lakin siku zilivyoenda alivyokuja kuonja utamu wa madaraka alibadilika kabisa. Hali hii sasa tunaenda kuiona kwa Mama Samia Suluhu.

Mikutano yake ya mwanzo baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alikuwa kila akihutubia "ulimi unateleza" na anatamka neno katiba mpya na akakiri kuwa lipo kichwani pake hasa. Lakin baada ya miezi mitatu ya kushikilia madaraka, ameshaanza kusema kipaumbele chake ni uchumi na katiba mpya itasubiri, mpaka lini hatujui.

Ninachoona hapa kilichompata Dk. Bashiru kabla hajayaonja madaraka ndicho kinachompata Rais Samia Suluhu baada ya kukamatia madaraka.

View attachment 1835474
Hapa ni kabla hajaonja na madaraka.


View attachment 1835502
Na hapa ni baada ya "kuula".
Unasema uongo
 
ungeweka kipindi kizima ,si huu mtindo uliotumia wa kuleta kipande ili mpate sehemu ya kumtukania,si sawa,imani yangu kuna mengi ya msingi kaongea
 
Hao ndio wanasiasa,wanashokizungumza na wanavyotenda ni vitu viwili tofauti.
Sijawahi kumwamini mwanasiasa!

Mama Samia aendelee kuwanyoosha.
 
Back
Top Bottom