Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu zama au nyakati zimebadilika. Watapatikana wapi wenye bikra kwa hulka za siku hizi ili kuhudumu madhabahuni?View attachment 2018860
Utaratibu kama huu unaweza kurudisha heshima ya bikra katika jamii na wana wari kujitunza mpaka ndoa.
Hawa walichukuliwa kuanzia miaka 6. Sema utaratibu huu unaweza kuharibiwa na wwnye jukumu la kuwa Lea.Tatizo ni kuwa dunia ya sasa imejaa visivyo halisi kabisa.
Hata wakiambiwa mabikra jitokezeni ili mtumikie madhabahu ya Bwana, watajitokeza wengi tu ambao wanajua fika kwamba wao si bikra.
View attachment 2018860
Utaratibu kama huu unaweza kurudisha heshima ya bikra katika jamii na wana wari kujitunza mpaka ndoa.
Watanipiga mawe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ongea Kiswahili Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa enzi hizi narudia tena kwa enzi hizi tena kwa Tanzania hii hata utoe 1b Tshs huwezi kupata binti bikra wa miaka 15+Utaratibu kama huu unaweza kurudisha heshima ya bikra katika jamii na wana wari kujitunza mpaka ndoa.
Tena bikira mwenyewe apelekwe kwa gwajiboy na ile kauli yake ya "kwani warembo wana ubaya gani"Siku hao wachungaji wenyewe ndio mabingwa wa kutafuna kondoo ndama.