Enzi za utoto....

Enzi za utoto....

Aisee labda tuitazame kwa jicho la tatu theory of evolution...!

Nadhani ni ukosefu wa muendelezo wa mazoezi ambao inachangiwa kwa kiasi kikubwa na changamoto za maisha tunayopitia.

Nilikuwa namskiliza songa enzi za utoto ghalfa nikauona Uzi huu.

Unamfahamu songa-(hip hop) msanii..?
Songa huyu wa tamaduni muziki??

Na kweli ukosefu wa mazoezi ulifanya niachane na sarakasi,japo home napo mama jolie alikua anapiga vita walahi nikikutwa najikunja kunja napigwa mpaka najuta hahaha

Baadae nilikujaga kumsikia akijadili na wamama wenzie wanamwambia asikubali niendelee kuruka sarakasi itanipa shida badae kwenye suala la kuzaa,eti sitazaa.Sarakasi ni za wanaume waliendelea kukazia nikapigwa vita vikali,japo ni kitu nnachokipenda....
 
Kama unatumia app unaclick tu comment yako,upande wako wa kulia juu kabisa baada ya kuclick comment uliyokosea utakutana na vidoti flani vitatu,click hapo utakutana na neno la kwanza kabisa "moderate" ukichagua hiyo moderate utakutana na edit na delete.Na hapo ndo unaweza kufanya chochote kulingana na machaguo na mahitaji yako.


Shida ni moja,siko vizuri kabisa kwenye suala la kuelekeza sasa sijui kama tutakua tumeelewana
kwa uwelewa wangu huu wa shule za kayumba nimekuelewa vizuri sana
 
Mimi ule mchezo wa baba na mama mpka kesho naucheza tu
 
Songa huyu wa tamaduni muziki??

Na kweli ukosefu wa mazoezi ulifanya niachane na sarakasi,japo home napo mama jolie alikua anapiga vita walahi nikikutwa najikunja kunja napigwa mpaka najuta hahaha

Baadae nilikujaga kumsikia akijadili na wamama wenzie wanamwambia asikubali niendelee kuruka sarakasi itanipa shida badae kwenye suala la kuzaa,eti sitazaa.Sarakasi ni za wanaume waliendelea kukazia nikapigwa vita vikali,japo ni kitu nnachokipenda....
Yes songa wa tamaduni music ana wimbo wake unaitwa Enzi za utoto.

Songa-Enzi za utoto.
"Kumbuka ni kitambo kabla ya Mr nice na Takeu/
Zishakuja kesi nyingi nimem'toa mtu ngeu/

Nilikuwa situlii akija mgeni labda uniwekee movie ya Brucelee na Jack chan"

Elimu pia ya wazazi wetu katika masuala ya michezo na Mambo mengineyo yakuhusu vipaji ilikuwa ni ndogo/bado ndogo.

Jana baada ya mechi ya man united vs arsenal Super sport tulikuwa tunaangilia mabinti wakinyonga nyoga viungo(mashindano) kwa ustadi mkubwa ilikuwa burudani sana.

Hahaha kwa hiyo saizi unapata watoto..?
 
Yes songa wa tamaduni music ana wimbo wake unaitwa Enzi za utoto.

Songa-Enzi za utoto.
"Kumbuka ni kitambo kabla ya Mr nice na Takeu/
Zishakuja kesi nyingi nimem'toa mtu ngeu/

Nilikuwa situlii akija mgeni labda uniwekee movie ya Brucelee na Jack chan"

Elimu pia ya wazazi wetu katika masuala ya michezo na Mambo mengineyo yakuhusu vipaji ilikuwa ni ndogo/bado ndogo.

Jana baada ya mechi ya man united vs arsenal Super sport tulikuwa tunaangilia mabinti wakinyonga nyoga viungo(mashindano) kwa ustadi mkubwa ilikuwa burudani sana.

Hahaha kwa hiyo saizi unapata watoto..?
Hahaha ngoja niende youtube kwanza nikamsikilize songa.


Bado sijaanza kujaribu kutafuta watoto heheehebehe
 
Hahaha ngoja niende youtube kwanza nikamsikilize songa.


Bado sijaanza kujaribu kutafuta watoto heheehebehe
Ayaaaa!!!kumbe bado upo upo kwanza,basi siku ukianza kutafuta watoto usimsahau Alisina,tunaweza leta akina Einstein na Isaac kwa awamu ya pili duniani,



Jolie Wa Jolie.!!
 
Yes songa wa tamaduni music ana wimbo wake unaitwa Enzi za utoto.

Songa-Enzi za utoto.
"Kumbuka ni kitambo kabla ya Mr nice na Takeu/
Zishakuja kesi nyingi nimem'toa mtu ngeu/

Nilikuwa situlii akija mgeni labda uniwekee movie ya Brucelee na Jack chan"

Elimu pia ya wazazi wetu katika masuala ya michezo na Mambo mengineyo yakuhusu vipaji ilikuwa ni ndogo/bado ndogo.

Jana baada ya mechi ya man united vs arsenal Super sport tulikuwa tunaangilia mabinti wakinyonga nyoga viungo(mashindano) kwa ustadi mkubwa ilikuwa burudani sana.

Hahaha kwa hiyo saizi unapata watoto..?
Kwahiyo utotoni mwako nyumbani mlikuwa na TV?
 
Kuna maza mmoja alikuwa anatengeneza keki za sherehe nikamsomea timing katoka nikapita na zile rangi za kupamba keki.........nikaza chupa za kutosha mchanganyiko wa maji rangi

tukienda shule jirani kucheza soka nakuja na product nikawapanga maneno hiyo inatumika baada ya 2 weeks ndo inakuwa tamu. Tena ikae kwenye Giza

Axe niliwaingiza kingi raia wengi wakaanza kunitafuta ningekamtwa meno ningepoteza manake nliwadanganya hadi wababe wa shule
 
Back
Top Bottom