Enzi za utotoni,chakula gani kikipikwa usiku home kwenu ulikuwa unachukia?

ugali na kabeji au maharage,ndizi kwa samaki au utumbo sili najisikia kichefuchefu
 
Nilikuwa sipendi kula kabechi na nyanya chungu,ndizi za kupika,viazi vitamu,,
ila sasa hivi nakula sana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…