figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Hao uliowataja mimi nimewa inspire kurap. Je walipokuwa chini ya pfunk wamepata nini kimuziki mbali ya kurecord na kupata misifa ya kujulikana??
Akuna msanii wa bongo hiphop amefanikiwa chini ya pfunk. Nioneshe mmoja..na nieleze amefika wapi?
nyie si mlikua mnasema bongo fleva ni uhuni sasa mnalalamika nini?. wakina OJ na Bonnie luv wa mawingu studio(clouds) ili wapige wimbo wako ilikua hadi utoe rushwa. mia