figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Hao uliowataja mimi nimewa inspire kurap. Je walipokuwa chini ya pfunk wamepata nini kimuziki mbali ya kurecord na kupata misifa ya kujulikana??
Akuna msanii wa bongo hiphop amefanikiwa chini ya pfunk. Nioneshe mmoja..na nieleze amefika wapi?
Kitime, ngurumo mbona bado wanapiga muziki babu!!!
u' kno nothin @*......!!Huyu p,foku mwehu wengine alikua anadiriki kuwalazimisha awa0713.yote tunayajua tumenyamaza huna lako nenda kavute bangi na mateja wenzako usitake sifa kwa mhongo wa ngwear wewe umeishiwa na hao clouds huwawezi wako juu utawasoma mawinguni mwehu wewe mvuta bangi
Huyu Pfunk namkumbuka alikuwa bwana mdogo sana wakati mimi naanza rap pale SINZA. Nilipokuja sikia baadae kuwa ndo producer mkubwa pale kijitonyama alafu anawapeleka mputa wasanii just kurecord, alafu siyo bure bali kwa hela zao tena na appointment zake mwenyewe pfunk. Nikawa naongea na rafiki yangu mwingine pale bongo akaniambia jamaa (pfunk)noma, anajiona sana. Nakumbuka nikamwambia rafiki kuwa asijali sana kama kuna nyimbo anataka kirecord aende kwa master jay akarecord aachane na pfunk. Akanisikiliza. So pfunk kaishiwa...sababu kubwa za kuishiwa ni zifuatazo:
1. Hakujiandaa kukabiliana na upinzani wa studios zingine zilizofuatia
2. Hakuwa innovative enough na ndo maana hadi leo ukisikiliza productions zake hamna kipya, yale yale tu madudu
3. Bado hajui what is music business, ndo maana anaropoka wasanii wanaonewa wakati hakuna hata msanii mmoja bongo (si jidde wala ali kiba) ila diamond tu ambaye rasmi anatumia music publisher - Babu tale kupeleka nyimbo zake radioni na ktk TV stations.
MSIMLAUMU BABU TALE YEYE NI MUSIC PUBLISHER ILAINABIDI AWE RASMI NA ALIPIE USHURU NA AWE NA MIKATABA RASMI YA WAZI WAZI ILI WASANII WAWE WANAMTAFUTA.
Wasanii wengi walikuwa wanapeleka nyimbo radioni kiholela holela tu, kishkaji kukwepa kuuza copyright zao kwa publishers kama babu tale, lakini wanasahau kuwa hata akina dr.dre wanafuata misingi ya music business yaani kutumia pubishers alafu baadae mnakubaliana upya jinsi ya kugawana catalogue value ya copyrights za nyimbo zako. Jambo ambalo diamond atalifanya baadae.
4. Tanzania tunapenda kuepuka kufanya mambo kiholela holela. Wengi walikuwa wanapeleka nyimbo radioni kishkaji tu. Leo wanalalamika haki zao wakati radioni nyimbo zilifika kishkaji tu hakuna contract yoyote signed.
5. Nenda google tafuta music publisher hakuna mbali ya remmy ongala na ochestre matimila.( haya remmy aliyaina mapema sababu alifanya music na akina peter gabriel). Alikuwa mjuzi.
6. Ushauri kwa pfunk na wasanii wote wa bongo flava (kama watasoma yangu): jifunzeni kupita vyombo maana hapo mlipo copyright zenu anamiliki priducer wa studio. Mkishajua kupiga vyombo mnaweza kujadiliana na music publisher kuhusu haki zenu mkaeleweka. Ni rahisi that way kuliko kivingine..
- tumieni publishers ili mjulikane rasmi, na mlipwe haki zenu rasmi, hata mkifa kama akina ngwear ndugu zenu waweze kufuatilia haki zenu wazi wazi. Jiulizeni..NDUGU ZA NGWEAR WATAMDAI NANI HAKI ZA KIMUZIKI ZA NGWEAR??
wasalaam. Ni mimi msanii mwenzenu ughaibuni lakini soon nakuja bongo kiachia nyimbo zangu RASMI..
pfunk hajaisha kihivyo...bado mkono wake unahitajika..ttz hajatulia naye kama hao wengine tu wavuta bangi
mie nimemjua huyo pfunk enzi anasoma IST na alikua akija kwa master jay ..tunamuita mtoto wa kidachi..tulisimamia wote tamasha la kuwapata wateule pale mambo club..pia tulifanya naye sna mchakato kipindi wamekuja Lost boys..na gari yake ndio ilitumika kuwabeba..
na hata ile nyimbo ya mtulize ya mabaga fresh..p aliitengeneza katika studio za bonny luv enzi hizo alikua hana studio
kwangu Pfunk bado mzuri ttz watoto wadogo aliwafundisha ndio kelele nyingi..akina ramaah
Nimesoma hii michango nikagundua ya kwamba watu wengi hawafahamu kinachoendelea kwenye ulimwengu wa muziki Tanzania.
Iko hivi: P funk akishirikiana na mjasiriamali mmoja wa hapa town wanajenga studio moja ambayo kama ikikamilika itakua moja ya studio tishio sana hapa mjini. Hawa jamaa wamejipanga mno na tunavyoelekea huko mbele kuna tetesi kwamba wataelekea kufungua radio ambayo itakuja kuwa tishio kwa hawa jamaa wa mawingu.
Sammy wa group ya dayoung mobb pale sinza..ndo tuliomtoa sugu na soggy doggy walipofika tu dar toka mbeya, tulirecord na bonny luv pale mawingu studio. Group mama pale sinza ilikuwa Weusi Wagumu Asilia (W.W.A.).
1994-1996 Tukaachana na rap ili kusomea zaidi mambo ya muziki na mambo mengine. Kwa sasa tunakamilisha mipango ya kuunda bendi yetu wenyewe ya hiphop tanzania. Pure bongo hiphop band sababu hamna kitu hicho pale bongo kwa sasa.
Mimi naishi USA kwa sasa lkn natarajia kushuka bongo muda si mrefu for sometimes.
Habari zaidi kuhusu sisi, W.W.A Au historia ya hiphop artists pale bongo usisite kuniuliza.
Ukweli wote wa waasisi wa bongo hiphop so far si ya kweli..tukishaanza na bendi tutawaambia ukweli wabongo nani alikuwepo wakati bongo hiphop inaanza, ilikuwaje? Tunamipango gani kwa wasanii bongo....
Pfunk huyu huyu aliyefulia na kuishi kwa mama yake ugali shkamoo au amezaliwa mwingine? kama ni huyu huyu wa mabange tutasubiri sana kuiona hiyo studio na redio. Labda kama ni mwingine amabaye majina yamefanana
Huyu p,foku mwehu wengine alikua anadiriki kuwalazimisha awa0713.yote tunayajua tumenyamaza huna lako nenda kavute bangi na mateja wenzako usitake sifa kwa mhongo wa ngwear wewe umeishiwa na hao clouds huwawezi wako juu utawasoma mawinguni mwehu wewe mvuta bangi
Aaaaah babu!ebu acha zako bwana! Yan badala uachie wajukuu akina diamond na wewe unataka ukirudi uachie ngoma???????!
Yan naimagine kama p funk ni dogo kwako we utakuwa kama nani?!!labda mzee gurumo,kitime hivi!
Pumzika bwana umri umesogea huo,cheza cheza na wajukuu tu!
Aaah samahani nlisahau, SHKAMOO
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Sammy wa group ya dayoung mobb pale sinza..ndo tuliomtoa sugu na soggy doggy walipofika tu dar toka mbeya, tulirecord na bonny luv pale mawingu studio. Group mama pale sinza ilikuwa Weusi Wagumu Asilia (W.W.A.).
1994-1996 Tukaachana na rap ili kusomea zaidi mambo ya muziki na mambo mengine. Kwa sasa tunakamilisha mipango ya kuunda bendi yetu wenyewe ya hiphop tanzania. Pure bongo hiphop band sababu hamna kitu hicho pale bongo kwa sasa.
Mimi naishi USA kwa sasa lkn natarajia kushuka bongo muda si mrefu for sometimes.
Habari zaidi kuhusu sisi, W.W.A Au historia ya hiphop artists pale bongo usisite kuniuliza.
Ukweli wote wa waasisi wa bongo hiphop so far si ya kweli..tukishaanza na bendi tutawaambia ukweli wabongo nani alikuwepo wakati bongo hiphop inaanza, ilikuwaje? Tunamipango gani kwa wasanii bongo....
wewe nani unamponda p funk? kibao wamepitia mkono wa majani na wanamheshimu. mfano;
rough niggaz, BANTU POUND(niggerz pure,kassie, soggy doggy), AFRO REIGN(nature p,dray,j.d),BOOMBASTIC(ally na hamdani),bagsy malone, contish(abdul na hakim), cool james rip, DE PLOW MATZ(dolla soul,saigon,stigo,trip dogg), solo emcee, E-attack, Ebony moalim, FIVE TOILERS(brathe1,mr white,cholo B,mc S,Big H, FLEVA DOZ wakina izzack dog, HARDCORE UNIT, FOLZ SKOOL,Gangwe mob, gangster with matatizo(GWM).
cc miss strong. mia
Enzi hizo ukiwa na studio ulikuwa kama mfamle . wasanii wanakuja kurekodi kwa hela zao tena kwa apointment yako lakini ulikuwa na uwezo wa kuwafukuza kama mbwa tena na matusi juu kama sio makofi. Leo hii studio zimejaa tele za kumwaga hapa mjini vijana wadogo akina Marco chali, 69 record... Etc wamekufunika wanapiga hela . Wasanii sasa ndio wafalme . Sasa ndio unastuka unatafuta mchawi unapagawa na kuona radio clouds fm wanafaidi. Au sio wewe majani ulikuwa umemweka mvuta bangi mwenzako Juma Nature awe kama sekretali wako eti yeye ndio awafanyie usaili wasanii na hela zao kabla ya kuingia kwako kurekodi. Juma nature mwenyewe wanamkuta kalewa bangi ,tambuu na guberi.sio wewe ulikuwa unavunja makundi ya wasanii ili wawe wengi kisa tu wakiwa kundi hawana maslahi kwako . Unadai una uchungu na marehemu Mangwair. Vipi na mateja wengine katika studio yako mbona huwaongelei akina MOX, daz baba,TID, Juma nature, Q chief, Terry au Fanani wa hard brasters ....etc hadi wakifa nao utasema una uchungu na wameuliwa na Clouds. Watanzania tujifunze hela ikikimbia usitafute mchawi.
Kama wewe ni jike basi ni haki yako kuvaa Khanga! Lakini kama wewe ni dume basi nahisi mchana unavaa suruali halafu usiku unavaa Khanga!Enzi hizo ukiwa na studio ulikuwa kama mfamle . wasanii wanakuja kurekodi kwa hela zao tena kwa apointment yako lakini ulikuwa na uwezo wa kuwafukuza kama mbwa tena na matusi juu kama sio makofi. Leo hii studio zimejaa tele za kumwaga hapa mjini vijana wadogo akina Marco chali, 69 record... Etc wamekufunika wanapiga hela . Wasanii sasa ndio wafalme . Sasa ndio unastuka unatafuta mchawi unapagawa na kuona radio clouds fm wanafaidi. Au sio wewe majani ulikuwa umemweka mvuta bangi mwenzako Juma Nature awe kama sekretali wako eti yeye ndio awafanyie usaili wasanii na hela zao kabla ya kuingia kwako kurekodi. Juma nature mwenyewe wanamkuta kalewa bangi ,tambuu na guberi.sio wewe ulikuwa unavunja makundi ya wasanii ili wawe wengi kisa tu wakiwa kundi hawana maslahi kwako . Unadai una uchungu na marehemu Mangwair. Vipi na mateja wengine katika studio yako mbona huwaongelei akina MOX, daz baba,TID, Juma nature, Q chief, Terry au Fanani wa hard brasters ....etc hadi wakifa nao utasema una uchungu na wameuliwa na Clouds. Watanzania tujifunze hela ikikimbia usitafute mchawi.