Enzi zako zimekwisha P FUNK pole sana

Enzi zako zimekwisha P FUNK pole sana

Status
Not open for further replies.

kupe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
1,035
Reaction score
328
Enzi hizo ukiwa na studio ulikuwa kama mfamle . wasanii wanakuja kurekodi kwa hela zao tena kwa apointment yako lakini ulikuwa na uwezo wa kuwafukuza kama mbwa tena na matusi juu kama sio makofi. Leo hii studio zimejaa tele za kumwaga hapa mjini vijana wadogo akina Marco chali, 69 record... Etc wamekufunika wanapiga hela . Wasanii sasa ndio wafalme . Sasa ndio unastuka unatafuta mchawi unapagawa na kuona radio clouds fm wanafaidi. Au sio wewe majani ulikuwa umemweka mvuta bangi mwenzako Juma Nature awe kama sekretali wako eti yeye ndio awafanyie usaili wasanii na hela zao kabla ya kuingia kwako kurekodi. Juma nature mwenyewe wanamkuta kalewa bangi ,tambuu na guberi.sio wewe ulikuwa unavunja makundi ya wasanii ili wawe wengi kisa tu wakiwa kundi hawana maslahi kwako . Unadai una uchungu na marehemu Mangwair. Vipi na mateja wengine katika studio yako mbona huwaongelei akina MOX, daz baba,TID, Juma nature, Q chief, Terry au Fanani wa hard brasters ....etc hadi wakifa nao utasema una uchungu na wameuliwa na Clouds. Watanzania tujifunze hela ikikimbia usitafute mchawi.
 
Huyu Pfunk namkumbuka alikuwa bwana mdogo sana wakati mimi naanza rap pale SINZA. Nilipokuja sikia baadae kuwa ndo producer mkubwa pale kijitonyama alafu anawapeleka mputa wasanii just kurecord, alafu siyo bure bali kwa hela zao tena na appointment zake mwenyewe pfunk. Nikawa naongea na rafiki yangu mwingine pale bongo akaniambia jamaa (pfunk)noma, anajiona sana. Nakumbuka nikamwambia rafiki kuwa asijali sana kama kuna nyimbo anataka kirecord aende kwa master jay akarecord aachane na pfunk. Akanisikiliza. So pfunk kaishiwa...sababu kubwa za kuishiwa ni zifuatazo:
1. Hakujiandaa kukabiliana na upinzani wa studios zingine zilizofuatia
2. Hakuwa innovative enough na ndo maana hadi leo ukisikiliza productions zake hamna kipya, yale yale tu madudu
3. Bado hajui what is music business, ndo maana anaropoka wasanii wanaonewa wakati hakuna hata msanii mmoja bongo (si jidde wala ali kiba) ila diamond tu ambaye rasmi anatumia music publisher - Babu tale kupeleka nyimbo zake radioni na ktk TV stations.
MSIMLAUMU BABU TALE YEYE NI MUSIC PUBLISHER ILAINABIDI AWE RASMI NA ALIPIE USHURU NA AWE NA MIKATABA RASMI YA WAZI WAZI ILI WASANII WAWE WANAMTAFUTA.

Wasanii wengi walikuwa wanapeleka nyimbo radioni kiholela holela tu, kishkaji kukwepa kuuza copyright zao kwa publishers kama babu tale, lakini wanasahau kuwa hata akina dr.dre wanafuata misingi ya music business yaani kutumia pubishers alafu baadae mnakubaliana upya jinsi ya kugawana catalogue value ya copyrights za nyimbo zako. Jambo ambalo diamond atalifanya baadae.
4. Tanzania tunapenda kuepuka kufanya mambo kiholela holela. Wengi walikuwa wanapeleka nyimbo radioni kishkaji tu. Leo wanalalamika haki zao wakati radioni nyimbo zilifika kishkaji tu hakuna contract yoyote signed.
5. Nenda google tafuta music publisher hakuna mbali ya remmy ongala na ochestre matimila.( haya remmy aliyaina mapema sababu alifanya music na akina peter gabriel). Alikuwa mjuzi.
6. Ushauri kwa pfunk na wasanii wote wa bongo flava (kama watasoma yangu): jifunzeni kupita vyombo maana hapo mlipo copyright zenu anamiliki priducer wa studio. Mkishajua kupiga vyombo mnaweza kujadiliana na music publisher kuhusu haki zenu mkaeleweka. Ni rahisi that way kuliko kivingine..
- tumieni publishers ili mjulikane rasmi, na mlipwe haki zenu rasmi, hata mkifa kama akina ngwear ndugu zenu waweze kufuatilia haki zenu wazi wazi. Jiulizeni..NDUGU ZA NGWEAR WATAMDAI NANI HAKI ZA KIMUZIKI ZA NGWEAR??

wasalaam. Ni mimi msanii mwenzenu ughaibuni lakini soon nakuja bongo kiachia nyimbo zangu RASMI..
 
Wewe unaropoka,,hip hop anayofanya majani ni hatari ka dre,,cheki ngoma ya stamina,wazo la leo,,,,,ukitoa majani na duke touches hakuna hip hop prtoducer bongo
 
Huyu Pfunk namkumbuka alikuwa bwana mdogo sana wakati mimi naanza rap pale SINZA. Nilipokuja sikia baadae kuwa ndo producer mkubwa pale kijitonyama alafu anawapeleka mputa wasanii just kurecord, alafu siyo bure bali kwa hela zao tena na appointment zake mwenyewe pfunk. Nikawa naongea na rafiki yangu mwingine pale bongo akaniambia jamaa (pfunk)noma, anajiona sana. Nakumbuka nikamwambia rafiki kuwa asijali sana kama kuna nyimbo anataka kirecord aende kwa master jay akarecord aachane na pfunk. Akanisikiliza. So pfunk kaishiwa...sababu kubwa za kuishiwa ni zifuatazo:
1. Hakujiandaa kukabiliana na upinzani wa studios zingine zilizofuatia
2. Hakuwa innovative enough na ndo maana hadi leo ukisikiliza productions zake hamna kipya, yale yale tu madudu
3. Bado hajui what is music business, ndo maana anaropoka wasanii wanaonewa wakati hakuna hata msanii mmoja bongo (si jidde wala ali kiba) ila diamond tu ambaye rasmi anatumia music publisher - Babu tale kupeleka nyimbo zake radioni na ktk TV stations.
MSIMLAUMU BABU TALE YEYE NI MUSIC PUBLISHER ILAINABIDI AWE RASMI NA ALIPIE USHURU NA AWE NA MIKATABA RASMI YA WAZI WAZI ILI WASANII WAWE WANAMTAFUTA.

Wasanii wengi walikuwa wanapeleka nyimbo radioni kiholela holela tu, kishkaji kukwepa kuuza copyright zao kwa publishers kama babu tale, lakini wanasahau kuwa hata akina dr.dre wanafuata misingi ya music business yaani kutumia pubishers alafu baadae mnakubaliana upya jinsi ya kugawana catalogue value ya copyrights za nyimbo zako. Jambo ambalo diamond atalifanya baadae.
4. Tanzania tunapenda kuepuka kufanya mambo kiholela holela. Wengi walikuwa wanapeleka nyimbo radioni kishkaji tu. Leo wanalalamika haki zao wakati radioni nyimbo zilifika kishkaji tu hakuna contract yoyote signed.
5. Nenda google tafuta music publisher hakuna mbali ya remmy ongala na ochestre matimila.( haya remmy aliyaina mapema sababu alifanya music na akina peter gabriel). Alikuwa mjuzi.
6. Ushauri kwa pfunk na wasanii wote wa bongo flava (kama watasoma yangu): jifunzeni kupita vyombo maana hapo mlipo copyright zenu anamiliki priducer wa studio. Mkishajua kupiga vyombo mnaweza kujadiliana na music publisher kuhusu haki zenu mkaeleweka. Ni rahisi that way kuliko kivingine..
- tumieni publishers ili mjulikane rasmi, na mlipwe haki zenu rasmi, hata mkifa kama akina ngwear ndugu zenu waweze kufuatilia haki zenu wazi wazi. Jiulizeni..NDUGU ZA NGWEAR WATAMDAI NANI HAKI ZA KIMUZIKI ZA NGWEAR??

wasalaam. Ni mimi msanii mwenzenu ughaibuni lakini soon nakuja bongo kiachia nyimbo zangu RASMI..

I bet we ni SOLO THANG........kama sio basi na we huna jipya....tangu p funky yuko mdogo we unaimba mpaka leo hujatoa nyimbo kusoma gani huko
 
Ni kweli walio kuwa wanajifanya wasanii alikua anawafukuza. Unakuta mtu kaja kavaa koti kubwa chafu na joto la dar anajifanya mwana hiphop halafu hana hela. ulikua unakuta vijana wamekaa pale nje ya geti wanavuta bangi eti wanasubiri kurecord. Yeye akitoka alikua akiwafukuza sababu pale hapakua kijiwe cha wavuta bangi. baadhi yao ndo hao wanaokuja kumchafua majani humu. Alikua anawambia kajioneni mtafute pumzi ndo mje lakini wanaenda bila hata mazoezi. ulitaka afanyeje?. kijana wake kapata tuzo jana. mia
 
Nimesoma hii michango nikagundua ya kwamba watu wengi hawafahamu kinachoendelea kwenye ulimwengu wa muziki Tanzania.

Iko hivi: P funk akishirikiana na mjasiriamali mmoja wa hapa town wanajenga studio moja ambayo kama ikikamilika itakua moja ya studio tishio sana hapa mjini. Hawa jamaa wamejipanga mno na tunavyoelekea huko mbele kuna tetesi kwamba wataelekea kufungua radio ambayo itakuja kuwa tishio kwa hawa jamaa wa mawingu.
 
wewe nani unamponda p funk? kibao wamepitia mkono wa majani na wanamheshimu. mfano;
rough niggaz, BANTU POUND(niggerz pure,kassie, soggy doggy), AFRO REIGN(nature p,dray,j.d),BOOMBASTIC(ally na hamdani),bagsy malone, contish(abdul na hakim), cool james rip, DE PLOW MATZ(dolla soul,saigon,stigo,trip dogg), solo emcee, E-attack, Ebony moalim, FIVE TOILERS(brathe1,mr white,cholo B,mc S,Big H, FLEVA DOZ wakina izzack dog, HARDCORE UNIT, FOLZ SKOOL,Gangwe mob, gangster with matatizo(GWM).
cc miss strong. mia
 
Last edited by a moderator:
Waulize hao ma producer unaowataja sasa wameiga kwa nan..yani Ruge umeamua kuja na ID tofauti kila cku subiri baada ya miaka 2 utaona kitakachotokea nataman ujue kilichopo nyuma ya pazia unaweza ukamfuata marehemu mliyempa mill 2 kwenye album yake ya a.k.a mimi..time will tell tulia ikuingie
 
Huyu p,foku mwehu wengine alikua anadiriki kuwalazimisha awa0713.yote tunayajua tumenyamaza huna lako nenda kavute bangi na mateja wenzako usitake sifa kwa mhongo wa ngwear wewe umeishiwa na hao clouds huwawezi wako juu utawasoma mawinguni mwehu wewe mvuta bangi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom