EONII 2023 movie ya kwanza kali ya Technology Tanzania, kama Hollywood vile

EONII 2023 movie ya kwanza kali ya Technology Tanzania, kama Hollywood vile

Kusema ukweli wabongo ni much know sana na clueless simultaneously.
Jaribu hata kutumia common sense, Toyota IST imetoka 2002 miaka 21 imepita lakini je leo hauzioni barabarani? Hapana mpaka leo 2023 bado zipo barabarani, je kitu gani kifanye zisiwepo 2061? Hizi comment zenu zinawachoresha upeo wenu kichwani.

For the sake of the argument, katikati ya story ni lazima protagonist awekwe kwenye mazingira au situation ngumu na helpless labda hizo futuristic vehicles zimerun out of electricity na possibilities, nyingine, hivyo kwa desperation atafanya chochote kile kutoka kwenye situation hiyo hata kwa kutumia bajaji lakini in this case old vehicles kama IST sababu movie imesetiwa 2061. Kuonyesha kwamba chochote kinaweza kuwa useful in difficult situation. Ukibanwa na njaa jangwani utakula hata siafu.

Na nani amekwambieni 2061 kutakuwa hakuna Toyota ISTs duniani? Hollywood na wazungu wanajivunia vya kwao na ninyi jivunieni vya kwani acheni kuwa suckers wa vitu vya watu. Na kwa akili primitive za watanzania Genre ya Sci-Fi itakuwa ngumu kustawi kama reasoning yenyewe ndio kama za hawa watu.

Hii ndio sababu situmii JamiiForums siku hizi, lazima utakuta clueless mjuaji mmoja anayejikuta ana akili nyingi anaandika pumba bila kujua tena kwa kujiamini kabisa.
Achana nao hao wengi wanaSonona na stress za kimaisha hasira zao wanamalizia mitandaoni kupingapinga vitu.

Wengi wao zaidi ni joined 2020-23, kiufupi akili hawana.
 
Kusema ukweli wabongo ni much know sana na clueless simultaneously.
Jaribu hata kutumia common sense, Toyota IST imetoka 2002 miaka 21 imepita lakini je leo hauzioni barabarani? Hapana mpaka leo 2023 bado zipo barabarani, je kitu gani kifanye zisiwepo 2061? Hizi comment zenu zinawachoresha upeo wenu kichwani.

For the sake of the argument, katikati ya story ni lazima protagonist awekwe kwenye mazingira au situation ngumu na helpless labda hizo futuristic vehicles zimerun out of electricity na possibilities, nyingine, hivyo kwa desperation atafanya chochote kile kutoka kwenye situation hiyo hata kwa kutumia bajaji lakini in this case old vehicles kama IST sababu movie imesetiwa 2061. Kuonyesha kwamba chochote kinaweza kuwa useful in difficult situation. Ukibanwa na njaa jangwani utakula hata siafu.

Na nani amekwambieni 2061 kutakuwa hakuna Toyota ISTs duniani? Hollywood na wazungu wanajivunia vya kwao na ninyi jivunieni vya kwani acheni kuwa suckers wa vitu vya watu. Na kwa akili primitive za watanzania Genre ya Sci-Fi itakuwa ngumu kustawi kama reasoning yenyewe ndio kama za hawa watu.

Hii ndio sababu situmii JamiiForums siku hizi, lazima utakuta clueless mjuaji mmoja anayejikuta ana akili nyingi anaandika pumba bila kujua tena kwa kujiamini kabisa.
Pole sana kwa makasiriko ndugu! Wakati na comment nilifurahia kuiona hiyo IST[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio nikaamini kweli hiyo movie niya kikwetukwetu


Sikufikirikia huu upuuzi na makasiriko uliyo nayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole sana
 
Kusema ukweli wabongo ni much know sana na clueless simultaneously.
Jaribu hata kutumia common sense, Toyota IST imetoka 2002 miaka 21 imepita lakini je leo hauzioni barabarani? Hapana mpaka leo 2023 bado zipo barabarani, je kitu gani kifanye zisiwepo 2061? Hizi comment zenu zinawachoresha upeo wenu kichwani.

For the sake of the argument, katikati ya story ni lazima protagonist awekwe kwenye mazingira au situation ngumu na helpless labda hizo futuristic vehicles zimerun out of electricity na possibilities, nyingine, hivyo kwa desperation atafanya chochote kile kutoka kwenye situation hiyo hata kwa kutumia bajaji lakini in this case old vehicles kama IST sababu movie imesetiwa 2061. Kuonyesha kwamba chochote kinaweza kuwa useful in difficult situation. Ukibanwa na njaa jangwani utakula hata siafu.

Na nani amekwambieni 2061 kutakuwa hakuna Toyota ISTs duniani? Hollywood na wazungu wanajivunia vya kwao na ninyi jivunieni vya kwani acheni kuwa suckers wa vitu vya watu. Na kwa akili primitive za watanzania Genre ya Sci-Fi itakuwa ngumu kustawi kama reasoning yenyewe ndio kama za hawa watu.

Hii ndio sababu situmii JamiiForums siku hizi, lazima utakuta clueless mjuaji mmoja anayejikuta ana akili nyingi anaandika pumba bila kujua tena kwa kujiamini kabisa.
Sasa wewe watu kufanya joke kuhusu hiyo IST ndio kitu cha kukukasirisha kweli [emoji849][emoji849] Eti ndio maana sikuhizi situmii Jamii Forums, usitumie tu sisi inatuhusu nini. Sio kila mtu anapenda kuwa serious muda wote kama wewe. Nenda kwenye mada za siasa kama hutaki jokes. Unakasirika vitu vya kitoto kabisa.
Sidhani kama kuna muda huwa unajaribu hata ku-smile wewe[emoji38][emoji38]
Ndio maana Wabongo tunazeeka mapema [emoji28][emoji28]
 
Ilabni wazembe kutumia muda mrefu kwa kitu cha kuiga
 
Mimi nashauri wajiwekeze zaidi kwenye kutengeneza michezo ya PlayStation na computer huko kuna mafanikio zaidi.

Huku wanachofanya kutengeneza movie za mbwembwe hizi sidhani kama watatoboa.

Watengeneze mavideo games na ma computer games ambayo yataonyesha miji ya Tanzania, waweke za kijeshi JWTZ makomando wakipambana na IDD Amini, au watengeneze visa vya kutunga kama Tanzania miaka ya 2222 imevamiwa na mazombie.

Au watengeneze hata za mashindano ya magari ambazo zitaonyesha barabara zetu kama zilivyo.

Huku kwenye movie huku bado ujanja janja ni mwingi sana unahitajika na jamaa sidhani kama watamudu.
 
Sasa wewe watu kufanya joke kuhusu hiyo IST ndio kitu cha kukukasirisha kweli [emoji849][emoji849] Eti ndio maana sikuhizi situmii Jamii Forums, usitumie tu sisi inatuhusu nini. Sio kila mtu anapenda kuwa serious muda wote kama wewe. Nenda kwenye mada za siasa kama hutaki jokes. Unakasirika vitu vya kitoto kabisa.
Sidhani kama kuna muda huwa unajaribu hata ku-smile wewe[emoji38][emoji38]
Ndio maana Wabongo tunazeeka mapema [emoji28][emoji28]
Sasa jamani wamesema Africa 2061 alaf kuna IST kweli
 
Kwa Tanzania movie pekee naweza weka matako yangu chini na kuangalia kwa sasa ni movies Za Media For Development International. Ila hii nitajaribu lakini nina wasiwasi na genre waliyochagua.

Umenena daktari, Movie ni kali ila sci-fi is a complicated genre kutengeneza plus budget wise na watu wengi hawzielewi.
 
SciFi ni movie nisizoziangalia kabisa. Hazijawahi kunivutia kwa namna yoyote
 
Mimi nashauri wajiwekeze zaidi kwenye kutengeneza michezo ya PlayStation na computer huko kuna mafanikio zaidi.

Huku wanachofanya kutengeneza movie za mbwembwe hizi sidhani kama watatoboa.

Watengeneze mavideo games na ma computer games ambayo yataonyesha miji ya Tanzania, waweke za kijeshi JWTZ makomando wakipambana na IDD Amini, au watengeneze visa vya kutunga kama Tanzania miaka ya 2222 imevamiwa na mazombie.

Au watengeneze hata za mashindano ya magari ambazo zitaonyesha barabara zetu kama zilivyo.

Huku kwenye movie huku bado ujanja janja ni mwingi sana unahitajika na jamaa sidhani kama watamudu.
Tanzania atanunua 1 tu kisha zitapatikana KKOO
 
Back
Top Bottom