Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,940
- 5,511
Thanks..... NimeonaReuben Challe kajibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks..... NimeonaReuben Challe kajibu
Muvi umeionajeAyaa jana nimechk iyo movie yenu ebu niambieni na nyie mumeona kama mimi 😂😂😂
Nilijua tu [emoji38][emoji38]ni vituko vitupu ukungu mwingi mno
Waache Fix hakuna IST ya umeme itakuwa na muundo huohuo wa 2003
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waache Fix hakuna IST ya umeme itakuwa na muundo huohuo wa 2003
Ya umeme iyonmeona Toyota wish hapo au macho yangu
Kuna Series ya kinigeria WURA, ukimaliza episode lazima utake kuangalia nyingine.Tanzania bado tunashida na utungaji wa story nzuri, ambazo zinaweza kuvutia watazamaji....
Unaweza kutengeneza movie yenye budget ndogo lakin ikawa na story nzuri sana, mpka watu wakapenda..
Tuangalie movie kama power and kin, pale kuna technolojia gani ngumu kushindwa kutengeneza movie yenye story kama zile...
Kukimbilia science fiction kabla hatujakuwa bora kwenye story write, hata hzo zitakuwa mbovu tu...
Vutia bangi tuMlio ichek vipi buku 2 yangu nichekie movie au nifanye vingine tu ?