EONII 2023 movie ya kwanza kali ya Technology Tanzania, kama Hollywood vile

EONII 2023 movie ya kwanza kali ya Technology Tanzania, kama Hollywood vile

Nitajie movie moja ya bongo yenye script kali unayoiaminia
Kuna baadhi walijaribu mfano kuna filamu inaitwa Siri ya Kijiji, kuna Fungu la Kukosa. Shigongo kwenye Fake Pastor kuna kitu alijaribu pia. Zamaradi na Kigodoro kuna kitu alijaribu.

Kwa maoni yangu Ray na Kanumba ni miongoni mwa waandishi wa kawaida tu wa script.

Vichekesho ni hovyo pia wakati hii ni genre nyepesi kwa maoni yangu, Al Riyami akajaza muvi hazina mantiki za In'ye watu wakajidhalilisha kwa vitu visivyoingia akilini
 
Kaiangalie uje utupe honest review [emoji28][emoji28]
Kwa kusoma tu comments zako Nina Imani utaleta honest opinion maana mimi sina imani sana na hii movie
Mfano Camera quality kwenye trailer lake tu sijaridhika nayo. Huenda movie ikawa nzuri labda [emoji23][emoji23]
Lugha iliyotumika si rafiki kabisa, pia kwa uhalisia Huwezi kutana na IST 2061
Miaka 40 kutoka sasa
Ni sawa na mtu awe na gari ya mwaka 1980 leo hii
 
Screenshot_2023-06-21-15-22-54-16_f598e1360c96b5a5aa16536c303cff92.jpg
 
Hamna kitu humo, ni porojo tu kama za royo tuwa... na hiyo ni trailer subiri full movie ndo ushubwada.
 
Kusema ukweli wabongo ni much know sana na clueless simultaneously.
Jaribu hata kutumia common sense, Toyota IST imetoka 2002 miaka 21 imepita lakini je leo hauzioni barabarani? Hapana mpaka leo 2023 bado zipo barabarani, je kitu gani kifanye zisiwepo 2061? Hizi comment zenu zinawachoresha upeo wenu kichwani.

For the sake of the argument, katikati ya story ni lazima protagonist awekwe kwenye mazingira au situation ngumu na helpless labda hizo futuristic vehicles zimerun out of electricity na possibilities, nyingine, hivyo kwa desperation atafanya chochote kile kutoka kwenye situation hiyo hata kwa kutumia bajaji lakini in this case old vehicles kama IST sababu movie imesetiwa 2061. Kuonyesha kwamba chochote kinaweza kuwa useful in difficult situation. Ukibanwa na njaa jangwani utakula hata siafu.

Na nani amekwambieni 2061 kutakuwa hakuna Toyota ISTs duniani? Hollywood na wazungu wanajivunia vya kwao na ninyi jivunieni vya kwani acheni kuwa suckers wa vitu vya watu. Na kwa akili primitive za watanzania Genre ya Sci-Fi itakuwa ngumu kustawi kama reasoning yenyewe ndio kama za hawa watu.

Hii ndio sababu situmii JamiiForums siku hizi, lazima utakuta clueless mjuaji mmoja anayejikuta ana akili nyingi anaandika pumba bila kujua tena kwa kujiamini kabisa.
Mtengenezaji wa movie kaielezea hiyo ist kwamba ni ya umeme something different with what we have today
 
Kuna baadhi walijaribu mfano kuna filamu inaitwa Siri ya Kijiji, kuna Fungu la Kukosa. Shigongo kwenye Fake Pastor kuna kitu alijaribu pia. Zamaradi na Kigodoro kuna kitu alijaribu.

Kwa maoni yangu Ray na Kanumba ni miongoni mwa waandishi wa kawaida tu wa script.

Vichekesho ni hovyo pia wakati hii ni genre nyepesi kwa maoni yangu, Al Riyami akajaza muvi hazina mantiki za In'ye watu wakajidhalilisha kwa vitu visivyoingia akilini
Ivi upo serious na ulicho kisema apo kuhus script
 
Kuna baadhi walijaribu mfano kuna filamu inaitwa Siri ya Kijiji, kuna Fungu la Kukosa. Shigongo kwenye Fake Pastor kuna kitu alijaribu pia. Zamaradi na Kigodoro kuna kitu alijaribu.

Kwa maoni yangu Ray na Kanumba ni miongoni mwa waandishi wa kawaida tu wa script.

Vichekesho ni hovyo pia wakati hii ni genre nyepesi kwa maoni yangu, Al Riyami akajaza muvi hazina mantiki za In'ye watu wakajidhalilisha kwa vitu visivyoingia akilini
Reuben Challe kajibu
 
Siku ya juzi AZAM TV wamepost trailer ya movie yao mpya waliotengeneza kwa takribani miaka 6. Movie hiyo kwa jinsi ilivyotengenezwa ni kama imetumia mfumo wa CGI (Computer Generated Imagery) ambao unatumiwa sana huko hollywood na tumeona kwenye movies kama Superman, Avatar, Avengers na nyinginezo.

Hii movie ya EONII ni ya kiswahili kabisa lakini cha kushangaza ina Robots na Mashine za mfano wa Robots, na mandhari yake ni ya Teknolojia na muonekano ni wa Tanzania baada ya 2061. Ni trailer kali sana. Naona hatua kubwa kwa Tasnia ya Filamu Tanzania.

"EONII" a Tanzania movie that will take Africa's film industry to another level.


---

AZAM TV and POWER BRUSH STUDIO have launched the Blockbuster movie trailer
AZAM TV in collaboration with POWER BRUSH STUDIO have been able to launch the trailer of the New Movie "EONII". The movie that is about to be released in the end days of June, 2023 is expected to change the whole attitude of the Tanzanian film industry, the movie is called 'EONII'.


EONII is one of the Science Fiction (Sci-Fi) films that is based on high technology, where there are many cases including betrayal, fights, love and many other events. The setting of this movie is Tanzania, where the movie predicts that in 2061 Technology will have made a big step and there is an invention of Technology that is discovered and leads to a big threat where some people will own that knowledge and betray their fellows at the end of the day Humans and Robots enter the war along with some people who are traitors.

The language of the movie will be Swahili, with different languages Subtitles.

Launching the Movie
This full movie will be released on 23rd June, 2023 in cinema (theatres) where the Regions listed for the launching event will be Dar es Salaam, Arusha, Mwanza, Dodoma as well as other regions with cinemas and there will be a Red Carpet.

Film industry revolution​

This is a big revolution in the Film Industry in Tanzania and Africa in general. For a long time, the world of movies in Tanzania had deteriorated for many years since the late Steven Kanumba died, and now AZAM TV has shown the intention to focus on trying to make unique movies in Tanzania to compete with the world markets.
Hmmm...
 
Copy na Paste, hakuna Ubunifu wowote ule.
Kuna watu ni kama mmlisha laaniwa huwa hamna jema hata kidogo,ni mpo watu wa aina hiyo hatika huu ulimwengu na hata psychology imewatambua, Dunia hii ya leo ni kitu gani utafanya usiige hata chembe?
 
Kusema ukweli wabongo ni much know sana na clueless simultaneously.
Jaribu hata kutumia common sense, Toyota IST imetoka 2002 miaka 21 imepita lakini je leo hauzioni barabarani? Hapana mpaka leo 2023 bado zipo barabarani, je kitu gani kifanye zisiwepo 2061? Hizi comment zenu zinawachoresha upeo wenu kichwani.

For the sake of the argument, katikati ya story ni lazima protagonist awekwe kwenye mazingira au situation ngumu na helpless labda hizo futuristic vehicles zimerun out of electricity na possibilities, nyingine, hivyo kwa desperation atafanya chochote kile kutoka kwenye situation hiyo hata kwa kutumia bajaji lakini in this case old vehicles kama IST sababu movie imesetiwa 2061. Kuonyesha kwamba chochote kinaweza kuwa useful in difficult situation. Ukibanwa na njaa jangwani utakula hata siafu.

Na nani amekwambieni 2061 kutakuwa hakuna Toyota ISTs duniani? Hollywood na wazungu wanajivunia vya kwao na ninyi jivunieni vya kwani acheni kuwa suckers wa vitu vya watu. Na kwa akili primitive za watanzania Genre ya Sci-Fi itakuwa ngumu kustawi kama reasoning yenyewe ndio kama za hawa watu.

Hii ndio sababu situmii JamiiForums siku hizi, lazima utakuta clueless mjuaji mmoja anayejikuta ana akili nyingi anaandika pumba bila kujua tena kwa kujiamini kabisa.
Mara nyingi taifa lililo jaa wapumbavu hiwa watu wake wanajikita kwenye vimambo vya kijinga kijinga visivyo na tija
 
As long as movie imeigizwa kwa kiswahili lazima itakula kwao sababu mauzo yatakuwa madogo sana. Ingekuwa kwa akingereza atleast inge walipa
Si kweli mivies za kikorea na kichina zimeuza kwa uchina wake na ukorea huo huo ndio maana ya kuwa na subtitles? Hebu punguzeni utumwa wa fikra basi
 
Back
Top Bottom