EONII 2023 movie ya kwanza kali ya Technology Tanzania, kama Hollywood vile

Achana nao hao wengi wanaSonona na stress za kimaisha hasira zao wanamalizia mitandaoni kupingapinga vitu.

Wengi wao zaidi ni joined 2020-23, kiufupi akili hawana.
 
Pole sana kwa makasiriko ndugu! Wakati na comment nilifurahia kuiona hiyo IST[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio nikaamini kweli hiyo movie niya kikwetukwetu


Sikufikirikia huu upuuzi na makasiriko uliyo nayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole sana
 
Sasa wewe watu kufanya joke kuhusu hiyo IST ndio kitu cha kukukasirisha kweli [emoji849][emoji849] Eti ndio maana sikuhizi situmii Jamii Forums, usitumie tu sisi inatuhusu nini. Sio kila mtu anapenda kuwa serious muda wote kama wewe. Nenda kwenye mada za siasa kama hutaki jokes. Unakasirika vitu vya kitoto kabisa.
Sidhani kama kuna muda huwa unajaribu hata ku-smile wewe[emoji38][emoji38]
Ndio maana Wabongo tunazeeka mapema [emoji28][emoji28]
 
Ilabni wazembe kutumia muda mrefu kwa kitu cha kuiga
 
Mimi nashauri wajiwekeze zaidi kwenye kutengeneza michezo ya PlayStation na computer huko kuna mafanikio zaidi.

Huku wanachofanya kutengeneza movie za mbwembwe hizi sidhani kama watatoboa.

Watengeneze mavideo games na ma computer games ambayo yataonyesha miji ya Tanzania, waweke za kijeshi JWTZ makomando wakipambana na IDD Amini, au watengeneze visa vya kutunga kama Tanzania miaka ya 2222 imevamiwa na mazombie.

Au watengeneze hata za mashindano ya magari ambazo zitaonyesha barabara zetu kama zilivyo.

Huku kwenye movie huku bado ujanja janja ni mwingi sana unahitajika na jamaa sidhani kama watamudu.
 
Sasa jamani wamesema Africa 2061 alaf kuna IST kweli
 
Kwa Tanzania movie pekee naweza weka matako yangu chini na kuangalia kwa sasa ni movies Za Media For Development International. Ila hii nitajaribu lakini nina wasiwasi na genre waliyochagua.

Umenena daktari, Movie ni kali ila sci-fi is a complicated genre kutengeneza plus budget wise na watu wengi hawzielewi.
 
SciFi ni movie nisizoziangalia kabisa. Hazijawahi kunivutia kwa namna yoyote
 
Tanzania atanunua 1 tu kisha zitapatikana KKOO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…