Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,940
- 5,511
Netflix huijui mkuu?Netflix ipi kaka
Hii ni hatua nzuri sana kwenye tasnia ya filam tanzaniaGood stuff
Kaiangalie uje utupe honest review [emoji28][emoji28]Kwenye cinema atauza sana maana yake kumbi zote zitajaa siku husika.
Nitaenda iona ili nije kutoa maoni halisi
tuko pamoja,also what if humo ndan kuna inshu za time travelling!!!!,umeambiwa kuna teknolojia ambayo imegunduliwa na inaleta ghasia je wanaijua!!!!!?Kusema ukweli wabongo ni much know sana na clueless simultaneously.
Jaribu hata kutumia common sense, Toyota IST imetoka 2002 miaka 21 imepita lakini je leo hauzioni barabarani? Hapana mpaka leo 2023 bado zipo barabarani, je kitu gani kifanye zisiwepo 2061? Hizi comment zenu zinawachoresha upeo wenu kichwani.
For the sake of the argument, katikati ya story ni lazima protagonist awekwe kwenye mazingira au situation ngumu na helpless labda hizo futuristic vehicles zimerun out of electricity na possibilities, nyingine, hivyo kwa desperation atafanya chochote kile kutoka kwenye situation hiyo hata kwa kutumia bajaji lakini in this case old vehicles kama IST sababu movie imesetiwa 2061. Kuonyesha kwamba chochote kinaweza kuwa useful in difficult situation. Ukibanwa na njaa jangwani utakula hata siafu.
Na nani amekwambieni 2061 kutakuwa hakuna Toyota ISTs duniani? Hollywood na wazungu wanajivunia vya kwao na ninyi jivunieni vya kwani acheni kuwa suckers wa vitu vya watu. Na kwa akili primitive za watanzania Genre ya Sci-Fi itakuwa ngumu kustawi kama reasoning yenyewe ndio kama za hawa watu.
Hii ndio sababu situmii JamiiForums siku hizi, lazima utakuta clueless mjuaji mmoja anayejikuta ana akili nyingi anaandika pumba bila kujua tena kwa kujiamini kabisa.
Tunasubiria movie yenyewe kwanza ndio tu-judgetuko pamoja,also what if humo ndan kuna inshu za time travelling!!!!,umeambiwa kuna teknolojia ambayo imegunduliwa na inaleta ghasia je wanaijua!!!!!?
Na ni kwel yan genre ya sci fi kwa akili kama hizi wabongo tunazoonyesha ase itakua ngumu kutoboa
Unazan wanachukua tuuh kama maandazi mzee iyo movie Netflix walisha ipiga chini ndo ikaja apa azamNetflix huijui mkuu?
Movie za Kibongo kama Binti na Nyara zimeingia Netflix. Pia kuna movie mpya ya Idris Sultan imeingia Netflix juzi juzi tu nitakutajia jina lake kwa sasa nimelisahau
Kenya wana movie kibao zipo Netflix
Kama hizo zimeingia Netflix, kwa nini EONII ishindwe?
Ningependa kujua source inayosema kuwa EONII ilipigwa chini na NetflixUnazan wanachukua tuuh kama maandazi mzee iyo movie Netflix walisha ipiga chini ndo ikaja apa azam
Ivi unajua movie ya imani ukisha ijua vzr na nin kilich tokea njoo
Hii sio sahihi sababu Movie ni uhalisia wa maisha ya kila siku kwahiyo kutokuwa na matamshi sahihi ni kawaida. Mimi mwenyewe siongei kiswahili fasaha huku mtaaniLugha ya kiswahili iliyotumika ina makosa mengi ya kisarufi, hasa kwenye matamshi. Inavyoonekana haijafanyiwa editing upande wa spoken language
Mnapataga wapi mizuka ya kukaa chini na kuangalia tv
Kuna mahali popote nimetoa tusi kwako au kwa mtu mwingine?
Comment yangu imekaa kuonesha kosa la kiufundi ambalo muongoza filimu hakupaswa kulifanya...
Hiyo filamu haijawa released officially, hivyo waandaaji wanawaweza rekebisha baadhi ya scenes kutoka na positive reviews kama hizi...
Samahani kwa hilo tusi mkuu....
Ila movie tayar imeisha ni cku ya kutolewa tuh.kitu kidogo kama icho hakiezi badil uzur wa hio movie
Wakati Sonic the hedgehog ya kwanza inaachiwa trailer watu wali-criticize muonekano wa Sonic, waandaaji wakaubadilisha na baada ya hapo (huo muonekano mpya) ukapendwa na kuifanya Sonic the hedgehog kua moja ya movie iliyokubalika ambayo ime-base kutokana na game.
Movie kibao Hollywood b4 hazijawa released watu hukosoa trailers kuanzia CGI yenyew iliyotumika mpaka baadhi ya details ambazo wanaona haziko sawa
Watu wanapoonyesha makosa haina maana eti hawataki kukisapoti, hiyo ni njia nzuri ya waandaaji wa filamu kuonyeshwa makosa katika bidhaa yao na kuyarekebisha kabla muvi haijaachiwa!
UNUNUE CHINI YA ELFU TANO 😂 HAUZWI CD INAONYESHWA CINEMA TIKETI SIO CHINI YA ELFU.KUMI TUZOEE VITU.VIZURI NI GHARAMAKwa kiasi kikubwa azam ameipa uhai sana bongo movie, kuanzia zile tamthilia za AzamTv hadi sasa hii movie, binafs kama price ya hii movie itakuwa chini ya 5k lazima niinunue, just to support local made movies though mimi sio fan wa sci-fi movies
UNUNUE CHINI YA ELFU TANO 😂 HAUZWI CD INAONYESHWA CINEMA TIKETI SIO CHINI YA ELFU.KUMI TUZOEE VITU.VIZURI NI GHARAMA
SIO MOVIE YA ADAM JUMAAdam Juma kafanya kazi yake, vizuri sana
Ndio nafahamu, ila ni mmoja wa watu walioshiriki katika kutengeneza amekuwa cinematographer lakin huyo Eddie ndio amejifunzia kwa jamaaSIO MOVIE YA ADAM JUMA
Mtanange umekaa poa paleeeUnapataga wapi mizuka ya kukaa bar na kunywa bia??
Well said kaka, nimetazama hii video...kwenye Fiction wamefanya poa sana ila hadi sasa ukiniuliza nimesikia na kuelewa nini sina..Script writers hatuna lakini pia watu wa continuity huwa ni issue sana hapa tzUzuri wa movie ni script.
Bongo hatuna script writers.